HUSSEIN MACHOZI kuvunja ukimya na ‘NIPE SIKUACHI’ chini ya COMBINATION SOUND
Dar es Salaam, Tanzania, February 21, 2017 Baada ya kukaa kimya kwa miezi mingi bila kuachia wimbo, Hussein Machozi anatarajia kuachia wimbo mpya wiki chache zijazo. Wimbo huo unajulikana kwa jina la...
View Article#NEWS: Mkiniona nipo VEVO basi jua nimeyakamilisha haya – DIAMOND...
Kuna siku niliulizwa kwanini we haupo Vevo… Nikawambia: “uwepo wa msanii @VEVO anatakiwa msanii alipwe zaidi ya alivyokuwa analipwa kwenye Youtube channel ya kawaida.. Vevo wenyewe pia wamtambue kuwa...
View Article#NEWS: ELSA IRADUKUNDA avishwa taji la MISS RWANDA 2017
Miss Rwanda 2017 Elsa Iradukunda receives the crown from Miss Rwanda 2016, Jolly Mutesi (Photos by Nadege Imbabazi) Elsa Iradukunda has been crowned Miss Rwanda 2017 amidst tight competition from 15...
View Article(Video) ALI KIBA awasili na tuzo ya MTV
MSANII mahiri wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Ali Kiba amewasili mchana huu akitokea nchini Afrika Kusini, alikoenda kukabidhiwa tuzo yake ambayo alishinda lakini yakafanyika magumashi na kupewa...
View ArticleKundi la WCB waja na WEBSITE yao inayouza kazi zao za mziki.
Kupitia account yake ya Insta Live msanii Diamond Platnumz alikuwa anapiga shopping kwenye mall moja hapa town na hatima kusema anatarajia kutoa album yake mpya kabla ya ile Internation ambayo itakuwa...
View Article(Pic+Audio) Hii ndio ajali aliyoipata msanii KALALA JR akiwa na Mbunge wa...
Msanii Kalala Jr kutoka Twanga Pepeta usiku wa jana majira ya saa 3 akiwa safari kurudi Dar es Salaam alinusurika kifo akiwa na watu watano kwenye gari hiyo ya private wakitokea Dodoma. Kalala...
View Article(Video) Waziri NAPE aunda kamati kuchunguza Sakata la MAKONDA kuvamia CLOUDS...
Waziri Nape Nnauye, ameunda kamati ya kuchunguza kitendo kilichofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuvamia ofisi za Clouds Media Group, kwa lengo la kushinikiza habari yake irushwe...
View Article(News) Maamuzi ya vyombo vya habari Tanzania kuhusu RC Makonda
Baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kuvamia ofisi za Clouds TV na kuwalazimisha watangaza wa kipindi cha Shilawadu kurusha kipindi kinachomuhusu Askofu Gwajima kikiwa hakijamaliziwa...
View ArticleTanzania “BIG ISHU AWARDS”….
Kwa mara ya kwanza Candy and candy group of companies wanakuletea Tuzo ya heshima Tanzania “BIG ISHU AWARDS” Tuzo hiyo itatolewa kwenye taasisi mbalimbali,kutokana na ubunifu na namna walivyofanikiwa...
View ArticleGrace Matata (TZ) signs with Panamusiq
Panamusiq has signed Tanzanian live act and musician Grace Matata on a long term management contract. Grace is a 2015 Kilimanjaro Music Awards nominee and afro-soul & RnB singer/songwriter from...
View ArticleFamilia ya MABESTE yapata mtoto wa pili usiku wa March 24th
Usiku wa March 24th 2017 familia ya msanii wa bongo fleva Mabeste & Lisa ilibahatika kupata mtoto wa pili (Girl) katika hospital ya Masana iliyopo Mbezi Beach (Tangi Bovu). Mabeste hakuweza...
View ArticleYOUNG DEE sasa yupo chini ya Prod MR T TOUCH
Mr T Touch amethibitisha kumsajili Young Dee kwenye lebo yake, Touchez Sound Records kwa miaka mitatu. Mtayarishaji huyo wa muziki amekiambia kipindi cha E-News cha EATV Ijumaa hii kuwa yeye atakuwa...
View ArticleWaziri MWAKYEMBE ameruhusu wimbo wa msanii @naythetrueboy ‘WAPO’ upigwe hewani.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, ameliagiza Jeshi la Polisi kumuachia huru Msanii Ney wa Mitego ambaye alikuwa akishikiliwa na Jeshi hilo. Waziri Mwakyembe...
View ArticleChance the Rapper. News conference about Chicago Public Schools.
Less than a month after donating $1 million to Chicago Public Schools, Chance the Rapper announces even more philanthropic initiatives to help his hometown. On Friday (March 31), Chance hosted a press...
View ArticleSAUTI SOL AND VANESSA MDEE SET TO HEADLINE THE GIDI CULTURE FESTIVAL (15T H...
This Easter Saturday (15th April 2017) – all roads lead to Nigeria as East Africa’s finest: Vanessa Mdee and Sauti Sol headline at the fourth edition of The Gidi Culture Festival (GID I FEST) at Eko...
View ArticleGOOD NEWS ni kwamba JOH MAKINI na DAVIDO waingia location kushoot collabo yao.
Collabo ya Joh Makini na Davido ni ya muda mrefu sana kiasi kwamba mashabiki wamekuwa na shauku kubwa ya kusikia walichokifanya kwenye Collabo hiyo, lakini habari njema ni kwamba muda si mrefu...
View Article(News) DAYNA NYANGE anyakuwa TUNZO mbili kutoka NIGERIA.
Kupitia account yake ya Instagram msanii wa Bongo Fleva DAYNA NYANGE alipost kitu kizuri kwa mashabiki wake. NAMNUKUU “Leo imekuwa siku yangu ya furaha sana sana sana Na ningependa ni washukuru...
View Article(Video) Wasanii Waungana Kumsaka ROMA, Wakutana COCO Beach na waandishi wa...
Twitter: @chokadj @djchokatv Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
View ArticleMISS TANZANIA DIANA EDWARD AKAMILISHIWA ZAWADI ZAKE
Mrembo mwenye taji wa Tanzania kwa Mwaka 2016 – 17, Diana Edward hatimae amekamilishiwa kitita chake kiasi cha shilingi Milioni 2 aliyokuwa akiidai Kamati ya Miss Tanzania, kufuatia kushinda taji hilo...
View Article(Video) Breaking News: Kamanda Sirro Afunguka Kutekwa kwa ROMA
Twitter: @chokadj @djchokatv Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
View Article