Quantcast
Channel: News – eNCA Online TV
Viewing all articles
Browse latest Browse all 784

MISS TANZANIA DIANA EDWARD AKAMILISHIWA ZAWADI ZAKE

$
0
0

Mrembo mwenye taji wa Tanzania kwa Mwaka 2016 – 17, Diana Edward hatimae amekamilishiwa kitita chake kiasi cha shilingi Milioni 2 aliyokuwa akiidai Kamati ya Miss Tanzania, kufuatia kushinda taji hilo miezi mitano iliyopita. Zawadi hiyo imetolewa na Mmoja wa Wadhamini wa shindano hilo, ambao ni Kampuni ya Uuzaji wa vito vya thamani ya Gift Jewellers nyenye maduka yake ndani ya City Mall, Jijini Dar es salaam.


Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE


Viewing all articles
Browse latest Browse all 784

Trending Articles