Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
Dakika kadhaa zilizopita Prod Maneck alipost kitu kwenye account yake ya Instagram kama unavyoona kwenye picha hapo juu na kuonesha kuwepo kwa upendo uliopotea toka zamani kidogo kati yake na msanii Diamond Platinumz. Kwa sasa majamaa hawa wako poa na wako tayari sasa kufanya kazi kama zamani ili kuijenga vizuri Bongo Fleva. Je unamaoni gani ndugu mdau wa Bongo Fleva
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
Muigizaji maarufu wa kipindi cha runinga cha “Vitimbi”
Benson Wanjau aka
“Mzee Ojwang”
ameaga dunia.
Mzee Ojwang ameaga dunia muda mchache uliopita katika hospitali ya kitaifa ya Kenyatta mjini Nairobi Kenya.
Kwa habari zaidi tembelea hapa http://niaje.com
RIP MZEE OJWANG
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
The Zanzibar International Film Festival, taking place from July 18 – 26th has officially announced its full schedule and programme of events. This year sees an incredible selection of over eighty films being screened at four venues in Stone Town, in addition to screenings in villages across Zanzibar island and Pemba.
A full workshop programme, nightly music concerts, special screenings as well as annual Women’s Parade and Market as well as The Dhow Race will round out an incredible schedule for ZIFF 2015.
ZIFF is also extremely proud to announce as its Chief Guests, internationally renowned hip-hop recording artist, actor and activist Mos Def. Mos Def will take part in a number of official activities during the festival along with Leleti Khumalo who will host the South Africa Day events as well as special screenings of some of her films.
Please find below the full schedule for ZIFF 2015. More information on all these events can be found at www.ziff.or.tz with daily news and updates on www.facebook.com/zanzibarinternationalfilmfestival and on twitter @ZIFF_2015
#ZIFF2015 is proud to announce that Mos Def Official aka Yasin Bey, will be a Chief Guest at the festival this year!
FILM SCREENINGS OLD FORT: AMPHITHEATRE
Saturday: 18th July, 2015 – OPENING NIGHT
19:00 – 22:00 Opening Ceremony
20:00 – 22:10 Opening Film – Selma (128min), USA
22:00 – 02:00 Opening Ceremony at Mambo Club
Sunday: 19th July, 2015 – SOUTH AFRICA DAY
19:15 – 19:30 Uthando (20min), South Africa
19:30 – 21:30 Sarafina (117min), South Africa
Monday: 20th July, 2015
19:15 – 19:45 The Legacy of Rubies (Anim-28min), Germany
19:50 – 20:05 In Reality (11min), Uganda
20:10 – 21:25 Sound Tracks of Life – Moussa Diallo on Bass (72min), Denmark
Tuesday: 21st July, 2015
19:15 – 19:35 Jaya (18min), India
19:40 – 21:20 Eye of the Cyclone (100min), Burkina Faso
Wednesday: 22nd July, 2015
19:15 – 20:45 Difficult Dialogues: Public Forum
20:50 – 22:30 Price of Love (99min), Ethiopia
Thursday: 23rd July, 2015
19:15 – 20:10 New Generation Queens (55) USA /Tanzania
20:15 – 21:15 Twende (52min), Italy/Tanzania
Friday: 24th July, 2015 – SWAHILI DAY
19:15 – 19:45 Samaki Mchangani, (30min) Tanzania
19:50 – 21:20 Going Bongo, (90min) USA
Saturday: 25th July, 2015
19:00 – 21:00 Awards Ceremony
21:00 – 02:00 Celebrations at Mambo Club
Sunday: 26th July, 2015
19:15 – 20:30 I shot Bi Kidude (75min), Tanzania
20:40 – 02:00 Closing Performances at Mambo Club
FILM SCREENINGS: MARUMARU HOTEL
Sunday: 19th July, 2015
10:00 – 11:10 Miners Shot Down (52 min) South Africa
11:20 – 13:20 City of Violence (110min), South Africa
13:20 – 14:00 BREAK
14:00 – 15:30 Jongo Love (90min), Kenya
15:40 – 16:40 Prisoner 467/64: The Untold Legacy of Andrew Mlangeni (53min), South Africa
16:45 – 17.50 Wazi FM, (62min) Kenya
Monday: 20th July, 2015
10:00 – 11:10 Beautiful Tree, Severed Roots (70min), Kenya
11:20 – 13:20 Munnariyippu/The Deadline (114min),
13:20 – 14:00 BREAK
14:00 – 15:30 Kutakapokucha (84min), Tanzania
15:40 – 17:50 Habibie and Ainun (121min), Indonesia
Tuesday: 21st July, 2015
10:00 – 12:00 Pride (119min), UK
12:10 – 13:15 Single Zero (62min), Tanzania
13:15 – 14:00 BREAK
14:00 – 15:30 Sugarcane Shadows (84min), Mauritius
15:40 – 16:35 Maramaso (53min), Kenya
16:40 – 17:35 The Beauty That I Saw (51min), USA
Wednesday: 22nd July, 2015
10:00 – 12:45 Mr Kadamanja (164min), Tanzania
12:45 – 13:15 Shadow Fighters (30min), Denmark/Tanzania
13:20 – 14:00 BREAK
14:00 – 15:25 Pishu (83min), Tanzania
15:30 – 17:00 Nightrunners (89min), Kenya
Thursday: 23rd July, 2015
10:00 – 12:00 The Gods of Water (115min), Argentina/Ethiopia/France
12:05 – 13:10 Wazi? FM (62min), Kenya
13:10 – 14:00 BREAK
14:00 – 15:40 The Last Drive-in Theater (98min), Brazil
15:50 – 17:25 Superstition (118min), Uganda
Friday: 24th July, 2015 SWAHILI DAY
10:00 – 11:10 Nyange Kigoma (70min), Tanzania
11:20 – 13:05 Daddy’s Wedding (101min), Tanzania
13:05 – 14:00 BREAK
14:00 – 16:15 VIP (132min), Tanzania
16:20 – 17:30 Mapenzi ya Mungu (70min), Tanzania
Saturday: 25th July, 2015
10:00 – 12:35 Msago (153min), Tanzania
12:40 – 13:00 Mbwa Mwitu (21min), Tanzania
13:00 – 14:00 BREAK
14:00 – 15:10 Obohoz 2.0 (68min), Kenya
15:20 – 17:05 Fundi Seremala (103min), Tanzania
17:10 – 17:25 King of Guangzhou (14min), USA
Sunday: 26th July, 2015
10:00 – 12:05 Morbayssa (123min), Guinea Conakry
12:10 – 13:02 Miners Shot Down (52 min) South Africa
13:05 – 14:00 BREAK
14:00 – 15:40 Simshar (100min), Malta
15:45 – 16:55 Algun Lugar/On the Road Somewhere (70min), Dominican Rep
17:00 – 17:11 In Reality (11min), Uganda
17:15 – 17:20 Orisha’s Journey (5min), USA
FILM SCREENINGS: TAUSI HOTEL
Sunday: 19th July, 2015
10:00 – 10:35 A Promised Rose Garden (33min), Germany
10:40 – 10:56 A Coeur Ouvert (16min), France
11:00 – 11:20 A Hotel Room Story (18min), Spain
11:20 – 11:25 92 Dreamin (Anim-4min), USA
11:30 – 11:45 Amor a Primera vista/ Love at first sight (14min), Spain
11:50 – 12:15 Angles of my Face (22min), Kenya
12:20 – 12:36 Artificio Conceal (16min), USA
12:40 – 13:00 Bahar in Wonderland (16min), Germany
13:00 – 14:00 BREAK
14:00 – 14:15 As I am (14min), South Africa
14:20 – 14:30 Camouflage (8min), Germany
14:30 – 14:45 Castillo y el Armado (Anim-13min), Brazil
14:50 – 15:20 Every Day is a Small Life (27min), France
15:25 – 15:50 Faraja (22min), Tanzania
15:55 – 16:05 Harsh (8min), Brazil
16:10 – 16:25 Intellectual Scum (14min), Kenya
16:30 – 16:46 Islands (16min), UK
16:50 – 17:05 Italian Standoff (12min), Germany
17:10 – 17:30 Jaya (18min), India
Monday: 20th July, 2015
10:00 – 10:15 The Dinner (15min), Germany
10:20 – 10:26 Croc in a Museum (7min), Burundi
10:35 – 11:16 Mousse (41min), Sweden
11:20 – 11:50 Prelude to a Torn House (26min), Colombia
11:50 – 12:30 Ram (25min), India
12:35 – 13:00 Rough Town (25min), Germany
13:00 – 14:00 BREAK
14:00 – 15:10 El mal trato/Maltreatment (68min), Chile
15:15 – 16:15 Shadeism: Digging Deeper (57min), Canada
16:15 – 16:30 King of Guangzhou (14min), USA
16:35 – 16:45 The Girl (8min), India
16:45 – 16:50 The Rwandan Genocide: Reunited through Polaroid’s (5min), Rwanda
16:50 – 17:10 Taweez – The Talisman Writer (20min), Germany
17:15 – 17:35 Shehnai (16min), Pakistan
Tuesday: 21st July, 2015
10:00 – 10:30 The Legacy of Rubies (Anim-28min), Germany
10:35 – 11:15 The Road We Travel (37min), Uganda
11:20 – 11:41 The Last Will (21min), Germany
11:45 – 12:10 Tjitji the Himba Girl (22min), Namibia
12:15 – 12:35 The Broken Heart (18min), Germany
12:40 – 12:45 With Best Regards (5min), Australia
12:50 – 13:05 Routine (14min), South Africa
13:05 – 14:00 BREAK
14:00 – 14:25 Soko Sonko /The Market King (22min), Tanzania
14:30 – 14:55 The Hustle (25min), Turkey
15:00 – 15:30 Agi / Elegy (30min), Iran
15:35 – 15:45 Detour (10min), Singapore
15:50 – 16:15 Ella (25min), Germany
16:20 – 16:40 Lahza (17min), Egypt
16:45 – 16:55 Kilimo 2 (Anim-6min), Tanzania
16:55 – 17:25 Red Over the Rainbow (27min), Vietnam
17:25 – 17:30 Red Card (3min), Mauritius
Wednesday: 22nd July, 2015 – SEMBENE FILMS
10:00 – 10:15 Lesley (15min), USA
10:20 – 10:45 O Canto da Iona (25min), Brazil
10:50 – 11:05 Maruna (15min), Senegal
11:10 – 11:25 Aisaa’s Story (15min), USA
11:30 – 11:45 Madama Esther (15min), Madagascar
11:50 – 12:00 SHORT BREAK
12:05 – 12:30 Damaru (24min), Cameroon
12:35 – 12:52 Houkak (17min), Morocco
12:55 – 13:01 Kilimo 2 (6min), Tanzania
13:01 – 14:00 BREAK
14:00 – 14:16 Kwaku (16min), Ghana
14:20 – 14:50 Samaki Mchangani (30min), Tanzania
14:55 – 15:11 Liberte Emprisonnee (16min), Senegal
15:11 – 15: 25 SHORT BREAK
15:25 – 15:50 Soko Sonko (22min), Kenya
15:55 – 16:15 Uthando (20min), South Africa
16:20 – 16:36 Grandma Knows Best (16min), Ethiopia
16:40 – 16:55 Vitrin (15min), Cameroon,
17:00 – 17:15 Green Gold (13min), Iran/USA
17:15 – 17:20 Lami (2min), Japan
Thursday: 23rd July, 2015
10:00 – 11:40 Diamond Tongues (100min), Canada
11:50 – 12:55 The Springboard (63min), Burundi
12:55 – 13:00 Red Card (3min), Mauritius
13:00 – 14:00 BREAK
14:00 – 16:16 Mikono Salama (136min), Tanzania
16:20 – 17:51 Strength of a Woman (91min), Kenya
Friday: 24th July, 2015
10:00 – 10:45 21 Icons – A Journey to Democracy (45min), South Africa
10:50 – 12:10 Abasezi/The Night Dancers (78min), Ireland/Uganda
12:20 – 13:01 Low Season (41min), Germany
13:05 – 14:00 BREAK
14:00 – 15:25 Ady Gasy (81min), Madagascar
15:30 – 16:30 September (54min), Kenya
16:35 – 17:10 NAPPS – Memoire of an Invisible Man (31min), Germany
17:15 – 17:20 Orisha’s Journey (5min), USA
Saturday: 25th July, 2015
10:00 – 11:10 Bintou (68min), Germany
11:10 – 12:25 Dancing With Maria (75min), Italy/Argentina/Slovenia
12:30 – 12:41 Papa Machete (11min), USA
12:45 – 13:05 Grandma Knows Best? (16min), Ethiopia
13:05 – 14:00 BREAK
14:00 – 15:00 Life is Waiting: Referendum and Resistance in Western Sahara (60min), Western Sahara
15:10 – 16:50 Life in Progress (99min), Switzerland
16:55 – 17:50 Twende! Let’s go! (52min), Italy
Sunday: 26th July, 2015
10:00 – 11:30 Fevers (Fievres-90min), France
11:30 – 12:00 Red Over the Rainbow (27min), Vietnam
12:00 – 17:30 Winning Films
SPECIAL SCREENINGS AT ZANCINEMA
Sunday: 19th July, 2015
19:00 – 20:40 Virunga (96min), DRC
20:45 – 21:25 Still Got Lives (23 min) Germany
21:30 – 22:20 Socotra: The Hidden Land (40min) Spain
Monday: 20th July, 2015
19:00 – 21:00 Munnariyippu/The Deadline (114min),
21:00 – 22:00 Wazi FM, (62min) Kenya
Tuesday: 21st July, 2015
19:00 – 20:00 Maramaso (53min), Kenya
20:05 – 21:25 The Art of Ama Ata Aidoo (78min), Ghana
Wednesday: 22nd July, 2015
19:00 – 20:30 Nightrunners (89min), Kenya
20:30 – 20:55 The Gulped of the Blue (20min), Togo
Thursday: 23rd July, 2015
19:00 – 20:15 Sound Tracks of Life – Moussa Diallo on Bass (72min), Denmark
20:15 – 21:45 Jongo Love (90min), Kenya
Friday: 24th July, 2015
19:00 – 20:40 Simshar (100min), Malta
20:40 – 21:10 Shadow Fighters (30min), Denmark/Tanzania
21:10 – 22:10 Shadeism: Digging Deeper (57min), Canada
MUSIC AND PERFORMING ARTS PROGRAMME: MAMBO CLUB
All performances start after main film screening.
Sat July 18th
Indian Dance Group
Damian Soul (Tanzania)
Cocodo Band (Tanzania)
DJ
Sun July 19th
Paco Renteria (Mexico)
Luanga Choba (South Africa)
Dorothy Masuka (South Africa)
DJ
Mon July 20th
Msami (Tanzania)
Zanzibar One (Zanzibar)
Mousa Diallo (Mali/ Denmark)
DJ
Tues July 21st
Sosoliso Kidumbak (Zanzibar)
Baraka de Prince (Tanzania)
Yamato band (Tanzania Band)
DJ
Wed July 22nd
Bi. Shakira (Tanzania)
Patricia Hilal (Tanzania)
TID (Tanzania)
Bushoke (Tanazia)
DJ
Thurs July 23rd
Smile (Zanzibar)
Navy Kenzo (Tanzania)
Mrisho Mpoto & Irene Sanga
DJ
Fri July 24th
Baby J (Zanzibar)
Ruby (Tanzania)
Vanessa Mdee (Tanzania)
Antique (USA)
Sat July 25th
Afro Jazz
Barnaba (Tanzania)
Christian Bella (DRC / Tanzania)
DJ
Sun July 26th
Sultan King (Zanzibar)
AT (Zanzibar)
Weusi (Tanzania)
DJ
CHILDREN AND YOUTH FILM PANORAMA FILM SCREENINGS
VENUE: ZANCINEMA – UNGUJA.
19th July, 2015
10:00 – 12:30. Buricheka (15Min.Tanzania) (Dialogue 10Min ), Sarafina (117min), South Africa
14:00 – 16:30. New Generation Queens (55Min) (Dialogue 10Min)
Samaki mchangani (30Min), Jaya(18Min.India)
Soko Sonko (22Min.Tanzania (Dialogue 10Min)
20th July, 2015.
10:00 – 12:30 New Generation Queens (55min.Tanzania)(Dialogue 10Min)
Askari Wakali (8Min.Tanzania)
Khumba (84Min.South Africa).
14:00 – 16:30 The Legacy Of Rubies 28 Min. Germany), (Dialogue 10Min)
Buricheka (15Min.Tanzania)
Khumba (84min.South Africa) (Dialogue 10Min)
Kilimo 2 (6Min), Tanzania
21st July, 2015
10:00 – 12:30 Faraja (Tanzania, 22min) (Dialogue 10Min)
Yesterday (South Africa, 117Min) (Dialogue 10Min)
14:00 – 16:30 Jaya (18Min.India) (Dialogue 10Min)
Storm (86Min), Denmark (Dialogue 10Min)
22nd July, 2015
10:00 – 12:30 Soko Sonko (22Min.Tanzania) (Dialogue 10Min)
Kilimo2 (6Min.Tanzania), Sarafina (117min), South Africa
14:00 – 16:30 Kalume Kenge (14Min Tanzania) (Dialogue 5Min)
The Legacy of Rubies (28Min, Germany (Dialogue 5Min)
Samaki Mchangani(30Min), Tanzania
23rd July, 2015.
10:00 – 12:30 UNICEF Burundi Children Films (10min, Burundi) (Dialogue 10Min)
Sarafina (117Min.South Africa) (Dialogue 10Min)
14:00 –16:30 Samaki Mchangani (30Min), Tanzania (Dialogue10Min)
Khumba (84Min), South Africa, Faraja (22min), Tanzania (Dialogue10Min)
24th July, 2015.
10:00 – 12:30 Buricheka (15Min.Tanzania)
Yesterday (117Min), South Africa (Dialogue 10Min)
14:00 – 16:30 New Generation Queens (55min.Tanzania) (Dialogue 5Min)
Yesterday (South Africa, 117Min), South Africa
25th July, 2015.
10:00 –12:30 Askari Wakali(8Min.Tz.), Storm(86Min.Denmark) (Dialogue10Min)
Jaya (18Min), India, Kalume Kenge, (14Min), Tanzania
The Legacy of Rubies (28Min), Germany (Dialogue 10min)
14:00 – 16:30 Kilimo 2 (6Min), Tanzania, Kalume Kenge, (14Min), Tanzania (Dialogue 10Min)
Sarafina (117Min), South Africa
26th July, 2015 15:00 – 18:00 FAMILY DAY – OLD FORT
VENUE: MACHOMANE – PEMBA.
24th July, 2015.
19:00 – 21:00 Samaki Mchangani (30 Min Tanzania).(Dialogue 5Min)
Sarafina (117Min), South Africa
25th July, 2015.
19:00 – 21:00 Bulicheka (15Min), Tanzania, Askari Wakali (8Min), Tanzania (Dialogue 5Min)
Khumba (84Min), South Africa
26th July, 2015.
19:00 – 21:00 Faraja (22min), Tanzania (Dialogue 5Min)
Nyange Kigoma (65Min), Tanzania, Jaya (18Min), India
VILLAGE PANORAMA PROGRAM
18th July, 2015 Makunduchi
19:00 – 21:00 Samaki Mchangani (22min), Tanzania. Khumba (90min), South Africa
19th July, 2015 Matemwe
19:00 – 21:00 Faraja (22min), Tanzania. Kirikou (22min), France, The Gulped of the Blue (20min), Italy
20th July, 2015 Kinyasini
19:00 – 21:00 Soko Sonko (22min), Kenya. Yesterday (96min), South Africa
21st July, 2015 Paje
19:00 – 21:00 Faraja (22min), Tanzania. New Generation Queens (55min), USA/Tanzania
22nd July, 2015 Donge
19:00 – 21:00 Shoe Shine (20min), Tanzania. Nyange Kigoma (70min), Tanzania
23rd July, 2015 Donge
19:00 – 21:00 Faraja (22min), Tanzania. Going Bongo (90min), USA
24th July, 2015 Donge
19:00 – 21:00 I shot Bi Kidude (75min), Tanzania. Twende (52min), Italy/Tanzania
25th July 2015 Mahonda
19:00 – 21:00 I shot Bi Kidude (75min), Tanzania. New Generation (55min), USA /Tanzania
FESTIVAL OF FESTIVALS
VENUE: DOUBLE TREE BY HILTON HOTEL-KIJIJI HALL
19th July, 2015
14:00 – 17:30 Beyond Long Walk: In Memory of Danny Schechter (5 Part Series)
20th July, 2015
14:00 – 17:30 Beyond Long Walk: In Memory of Danny Schechter (5 Part Series)
21st July, 2015
14:00 – 17:30 AFDA – Film School Presentation
22nd July, 2015
14:00 – 17:30 ECOCLIPS and SAZANI
23rd July, 2015
14:00 – 17:30 Iranian Cultural Centre – Dar es Salaam
24th July, 2015
14:00 – 17:30 70years Anniversary of the United Nations: UNICEF Burundi Children Presentation
25th July, 2015
14:00 – 17:30 OPEN
WORKSHOPS/FORUMS/EXHIBITION/EVENTS/CONFERENCES
FESTIVAL DAILY PRESS CONFERENCE:
18th – 26th July, 2015 12:30 – 14:00 DoubleTree by Hilton Hotel/Media Center
ZUKU LOUNGE: DAILY INDUSTRY NETWORKING EVENT
18th – 26th July, 2015 17:00 – 18:45 Old Fort – Amphitheatre
SWAHILI DAY FORUM:
24th July, 2015 10:00 – 13:00 KIJIJI HALL – DOUBLETREE BY HILTON HOTEL
Distributing of the Bongo Film on TV, Discussion by ZUKU
Bahati (70min), Tanzania and Gitaa Langu (80min), Tanzania
EAFN DIGITAL MIGRATION FORUM
23rd – 25th July, 2015 DCMA/Grand Palace Hotel
MAISHA LAB: SCREENWRITING WORKSHOP
18th – 25th July, 2015 Dreams Hotel Zanzibar
THE LAB COMMUNITY WORKSHOP: PAN AFRICANISM AND GOOD LEADERSHIP IN AFRICA
21st – 23rd July, 2015 10:00 – 16:00 DCMA
WORKSHOP: TO TWEET OR NOT TO TWEET?
How Journalists can benefit from Twitter and Other Social Media
20th July, 2015 10:00 – 16:00 Monsoon Restaurant
THE 100 SECONDS FILM PRODUCTION WORKSHOP.
23rd – 25th July, 2015 10:00 – 16:00 Media Centre – DoubleTree by Hilton Hotel
VILLAGE PANORAMA WORKSHOP – TRAINING FILM FACILITATORS
13th – 16th July, 2015 09:00 – 16:00 Reclaim Women Heritage Centre
ZANZIBAR WOMEN’S VOICES WORKSHOP
22nd – 29th July, 2015 Mkokotoni Village
PHOTOGRAPHY EXHIBITION:
Surreal Beauty and Degradation by Shams Bhanji
18th – 25th July, 2015 Marumaru Hotel
SAVE THE CHILDREN EXHIBITION
19th – 26th July, 2015 Forodhani Gardens
PAINTING EXHIBITION:
ART AND UTERUS CANCER by Yahya Mzee (Kolaartist)
20th – 26th July, 2015 Floating Restaurant
MWAKA KOGWA CELEBRATION (NEW YEAR)
19th July, 2015 – Makunduchi Village
Buses Leaving from Old Fort at 08:00
TAMASHA LA UTAMADUNI WA MZANZIBARI
21st – 25th July, 2015 Unguja
21st July – Opening – Bwawani Hotel,
22nd – 25th July – Exhibition – Makumbusho Kuu – Mnazi Mmoja
22nd – 25th July – Village Film Screenings in Pemba and Unguja
23rd July – Bull Fighting – Pemba
25th July – Closing Ceremony – Fumba, Unguja
DIFFICULT DIALOGUES: PAN AFRICANISM
22nd July, 2015 19:15 – 20:45 Old Fort Amphitheatre
DHOW RACE
19th July, 2015 14:00 -17:00 Tembo Hotel
FAROUQUE ABDELLA BOOK LAUNCH
23rd July, 2015 16:00 – 17:00 ZUKU Lounge Old Fort Amphitheatre
Guest: Yasiin Bey aka Mos Def
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
Maisha Basement zamani ilikuwa ikiitwa NEW MAISHA CLUB kwa sasa imehamia Makumbusho Kijitonyama jengo jipya la LAPF TOWERS. Club hii ni mpya na ya kisasa yenye uwezo wa kuchukua watu mia saba (700) yenye vifaa vya kisasa na dance floor ya kisasa yenye uwezo wa kurusha matukio live kama video na mechi za mpira.
Uzinduzi wa Maisha Basement utafanyika kwa siku 3 tofauti, uzinduzi wa kwanza utakuwa Jumatano ya tarehe 15.07.15 ambapo tutazindua na watu maarufu mbalimbali, na uzinduzi wa pili utakuwa Alhamis ya 16.07.15 na siku hii tutawaalika watu mbalimbali kutoka katika makampuni (Corporate People).
Na uzinduzi rasmi wa MAISHA BASEMENT utakuwa siku ya EID MOSI, ambapo tutakuwa na burudani mbalimbali, na mgeni rasmi atakuwa ni mkuu wa wilaya ya KINONDONI Mh PAUL MAKONDA. Siku hii kiingilio ni shiling elfu 10 tu. Burudani zetu zilikuwa zinaanza Jumatano mpaka Jumapili, lakini hapa Maisha Basement burudani zetu zitaanza Jumatatu mpaka Jumatatu.
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
Dear Africans, friends and well-wishers of Africa,
Summer is around the corner! It’s time to relax and spend quality time with friends, family and well-wisher at the largest extravaganza African Diaspora festival taking place for the 6th time in Down-town Tübingen in Germany from the 23 to the 26h of July 2015 at the African Village (Festplatz).
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
Wengi wanaweza kuwa hawamfahamu huyu jamaa. Anaitwa Young Guru, ni DJ na sound engineer rasmi wa Jay Z na anatajwa kuwa engineer aliyefanikiwa na kuheshimika zaidi kwenye historia ya Hip Hop.
Kama umeiona Fade to Black, utakuwa umemuona sana humo akirekodi sauti za Jay Z studio.
Pamoja na kuhusika sana na kazi za Jay Z, Young Guru pia amefanya kazi na wasanii wengi wakubwa wakiwemo Beyonce, Rihanna , Ludacris, Ghostface Killah, Freeway, Cam’ron, Redman & Method Man, Mariah Carey, Pete Rock, Fabolous, Talib Kweli, Bone Thugs-N-Harmony, T.I, Mary J Blige na wengine.
Alikuja Tanzania wiki iliyopita na ilikuwa ni heshima kubadilishana naye mawili matatu.
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
Msafara wa rais Obama sasa umeondoka uwanjani The Beast
Rais Obama anatarajiwa kuhudhuria kongamano la wajasiria mali mjini Nairobi
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
Bobbi Kristina Brown, mtoto wa wanamuziki wawili maarufu na waliowahi kutamba sana enzi zao, marehemu Whitney Houston na Bobby Brown, amefariki dunia leo tarehe 26 Julai 2015 huko Duluth, Georgia nchini Marekani akiwa amezungukwa na wanafamilia. Bobbi Kristina amefariki akiwa na umri wa miaka 22. Hiyo ni kwa mujibu wa vyombo mbalimbali vya habari
Mauti imemfika Bobbi Kristina takribani miezi 6 tangu alipokutwa bafuni akiwa hajitambui tarehe 31 January mwaka huu. Alipokutwa alikimbizwa katika hospitali ya North Fulton huko Roswell, Georgia kabla ya kuhamishiwa hospitali ya Emory University.Miezi miwili baadae alihamishiwa katika kituo maalum cha uangalizi wa wagonjwa.
Bobbi Kristina alizaliwa tarehe 4 Machi mwaka 1993 huko Livingston, New Jersey.
Pumzika kwa amani.
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
It seems like Young Buck is in trouble with the law again. The G Unit rapper, whose real name is David Darnell Brown, is in trouble after he failed four drug tests while on probation. Last year Young Buck missed two drug tests and barely escaped more jail time for violating his probation. He violated his probation earlier this year when he attempted to fake a urine test and admitted to smoking marijuana with Snoop Dogg. It looks like Buck could be headed back to prison as the U.S. Attorney doesn’t believe he is taking his probation serious since he continues to use drugs. Young Buck better reconsider his love for weed right now.
SOURCE: http://allhiphop.com
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
Mh. Edward Lowassa akiwasili makao makuu ya Chadema Kinondoni jijini Dar es salaam leo Alhamisi 30 Julai 2015, Kwa ajili ya kuchukua fomu #JIANDIKISHE4VOTE2015
Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Mbowe (Wa kwanza kushoto) akizungumza na Edward Lowassa na mke wake Regina Lowassa (wa kwanza kulia) alipowasili katika ofisi za Chadema makao makuu kwa ajili ya kuchukua fomu, (Wa pili kushoto) ni naibu katibu mkuu Zanzibar Salum Mwalimu
Mhe. Edward Lowassa (kushoto) na akiwa na mke wake Regina Lowassa wakisaini datari la wageni katika ofisi za Chadema makao makuu jijini Dar es salaam, Leo Alhamisi 30 Julai 2015
Mwanasheria mkuu wa Chadema Mhe. Tundu Lissu akiongea katika ghafla fupi ya Mhe.Edward Lowassa akichukua fomu katika ofisi za Chadema makao makuu jijini Dar e salaam
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
Meditation & Mantra
Mara nyingi neno”Meditation” au kutafakari huchanganywa na kufikiri ni kukaa kimya kufumba macho kiufanisi au kuwaza jambo fulani. Pia, wengine huchanganya hili neno na kuwa umekaa kimya na kujaribu kutofikiria lolote, ama pia kuivuta au kuisukuma akili yako na kutoku fikiria kitu cha iana yeyote ile muda wote wa kutafakari na kuamini kwamba hiyo ni “Meditation” au Tafakari. Kamwe, hamna hata moja ya mifano hii inaweza kuifikia maana yake halisi katika mfumo kisayansi na filosofia ya “Yogic”.
Kisayansi ya Yoga, “Meditation” inaitwa “Mtiririko wa akili”( Flow of the mind).” Kuiongoza akili au mawazo ya mtu kupia Meditation, inahitaji pointi au sehemu muhimu katika maungo yako unayo kuwa unatumia kama vile mfano wa mionzi ya akili kuirushia na kuelekeza katika sehemu moja tu. Hivyo kwa kutumia msaada wa sauti maalum itwayo “Mantra”, hiyo ndio chombo hutumika kupitia mkufunzi aliye hitimu Sanaa ya Yoga na kufundisha kutokana na mazingira tofauti kati ya tofauti za watu zilivyo.
Kama jinsi inavyoelezwa katika filosofia ya Yoga kwamba, akili ya mwana adam, kamwe haitulii, wakati wote ipo mbio na inatafuta cha kufikiri, hivyo basi huwa ni kazi ngumu sana kwa mtu hata kuanza tu somo la kwanza (First lesson), kwa mistuko ya mchanganyiko wa mawazo ya mwana adam. Hivyo huwa taabu sana kukusanya mawazo yako binafsi na kufanya meditation bila muongozo wa kiutaam.
Napenda kuongelea vitu vichache hapa. Kuna vitu, au pointi tano tofauti zilizo muhimu na utumika katika mbinu za kutafakari kwa jina la “Sense withdrawal”, ambayo huitajika ili uweze kushawishi akili yako na mawazo kwamba utaweza kutafakari bila vikwazo vya mawzo yoyote au kuwa na utata katika mfomo mzima wa kutafakari. Ufuatao ni muktasari tu wa jinsi gani wana-Yoga wana tafakari kwa masaa mengi bila mgongano au (interraption) kupitia njia hii:
1. Asana (Mkao wa mazoezi ya Yoga): “Lotus posture” kukunja miguu. Faida zake; kuweza kumiliki viungo vya mwili wakati wa kutafakari. Ndipo jinsi unaweza kumiliki viungo vya mwili wako vinavyokuwezasha kuona vitu “Sensory organs”. Kufumba macho, kutokuona kinachoendelea nje ya upeo wa macho ili kuweza kuelekeza mionzi ya fikra zako (Focus) sehemu moja tu. Kukunja ulimi zidi ya dari ya mdomo “Roof of the mouth” (Palate) wako ili kuweza miliki hamu ya kuonja radha au haja ya chakula chochote kile (Control taste). Kukunja mikono na vidole kuweza kumiliki hamu ya kushika kitu (Control sense of touch). Kitu kisicho wezekana kukimiliki ni harufu ( Sense of smell), na ndio maana “Meditation” hufanywa katika mazingira safi bila moshi wala harufu mbaya kuepuka mkatiko wa mtiririko wa mawazo waka wa kutafakari.
2. Kutoka katika mazingira ya mzumguuko wako wa kila siku (Withdrawl from external world) “Bhuta Shuddhi”. Kujitoa kimawazo kiuwoga wa matatizo ya kila siku kimaisha, kuwa umetulia mwili wako wakati wa kutafakari (Relaxation).
3. Kujitoa kimawazo katika mwili wako mwenyewe (Withdrawal from the body) “Asana Shuddhi”. Kutowaza lolote kuhusu mwili wako na hali yake nzima au kutokuambatanisha fikra zako katika maumbile ya mwili wako ( Withdrawal from each parts of your body; concentrate in one singular point) “Ista Chakra”.
4. Kujitoa kabisa kimawazo (Withdrawal from thoughts of interruption) “Citta Shuddhi”, hapa katika hatua hii, mraba wa akili unakuwa unaelea kimawazo sambamba katika anga za ulimwengu (Total suspension of mind in cosmic space; Consciousness)
5. Mtiririko wa mawazo na Mantra ( Flow of mind) “Dhyana” hii ndio njia nzima ya utaratibu wa kufanya Meditation, au kwa namna nyingine ni mwanzo wa Kutafakari (Process to start meditating). Hapa ndipo sasa mkufunzi wa taaluma ya Yoga anakuwa anarudia kimoyo moyo Mantra aliyoisoma, sasa hapa ndipo mwanzo wa kile tunaita “Tafakari”. (Meditation).
zipo njia nyingi zaidi za kufanya “Meditation” au kutafakari ngazi ya juu zaidi kupitia njia ya pumzi au “Prana Yama”(Vital Breathing). Hivyo, huu hapa ni muktasari tu wa jinsi na namna gani tunaitafsiri “Meditation ” au kutafakari kupitia mafunzo ya Yoga. Hayo pia ni machache naona vizuri kushirikiana na kumulika mwanga kidogo kwa wale wasio fahamu nini hasa maana ya Meditation kupitia Sanaa ya Yoga.
Imeandikwa na mkufunzi wa Sanaa ya Yoga, Rumadha Fundi, mwenye uzoefu mkubwa na diploma ya somo la Yoga toka “ College of Neo-humanists Studies, Gullringen, Vimmerby, Sweden, aliyopa mwaka 1986 na hatimae baadae mwaka 1987 kwenda Tiljala, Culcutta, India, na kupata shahada ya juu kabisa ya Yoga duniani ijulikanayo kwa jina la “Avadhuta”.
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
PICHANI ni mshindi wa shindano hilo Yolanda Shayo.
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
Mashabiki wa Bongo Fleva Dancehall na Regge Bongo Fleva kaeni tayari kwa ujio mpya wa msanii Klex Man anakuja na ngoma mpya iitwayo Queen Irene na nyimbo imefayika katika studio ya MiARMY Records Video imetengenezwa na Director Nick Dizzo .
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE
Twitter: @chokadj @djchokatv
Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic
Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE