Quantcast
Channel: News – eNCA Online TV
Viewing all 784 articles
Browse latest View live

NGOMA AFRICA BAND WAFUNGA KAZI MAMLING FESTIVAL,AUSTRIA

$
0
0

FFU wakiwa Kibaruani Mamling,Festival nchini AustriaMining,Austria

Bendi maarufu ya muziki wa dansi Ngoma Africa Band aka FFU yenye makao yake nchini Ujerumani, siku ya Jumapili 5 Julai 2015 ilifanikiwa kutingisha jukwaa la Mamling Festival,liliofanyika kule Mining,Austria.kikosi kazi iko cha Ngoma Africa band kilipangiwa kupanda jukwaani saa 10 na dakika 30 alhasiri,lakini maporomota walisogeza muda hadi saa 12 jioni ndio bendi hiyo ilipopanda jukwaani ,muda ulisogezwa kutoka na hali jua na joto kali lililofikia nyuzi joto 38c,ambazo sio za kawaida kwa msimu summer barani ulaya.Kikosi kazi kilipopanda jukwaani bila ya kuremba remba walianza kuporomosha muziki moto moto kama kawaida yao,kiasi cha kuwafanya waandaaji watoe mwaliko tena kwa bendi hiyo kushiriki onyesho la 2016 mungu akijalia.
Ngoma Africa baada ya kumaliza kazi wamerudi katika maskani yao ya himaya Anunnaki,kule Ujerumani

Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE


NEWS: Lile BEEF kati ya PROD MANECKY na DIAMOND sasa limefikia hapa…

$
0
0

Untitled

Dakika kadhaa zilizopita Prod Maneck alipost kitu kwenye account yake ya Instagram kama unavyoona kwenye picha hapo juu na kuonesha kuwepo kwa upendo uliopotea toka zamani kidogo kati yake na msanii Diamond Platinumz. Kwa sasa majamaa hawa wako poa na wako tayari sasa kufanya kazi kama zamani ili kuijenga vizuri Bongo Fleva. Je unamaoni gani ndugu mdau wa Bongo Fleva


Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

BREAKING NEWS: Mchekeshaji mkongwe kutoka Kenya MZEE OJWANG (Baba Kayayii) kutoka VITIMBI SHOW tunaambiwa amefariki dunia

Nimekuwekea hapa ratiba nzima ya Zanzibar International Film Festival (@ZIFF_2015) inayoanza Jumamosi hii tarehe 18th July 2015

$
0
0

11141227_1112635472085419_4632580964290709280_nThe Zanzibar International Film Festival, taking place from July 18 – 26th has officially announced its full schedule and programme of events. This year sees an incredible selection of over eighty films being screened at four venues in Stone Town, in addition to screenings in villages across Zanzibar island and Pemba.

 A full workshop programme, nightly music concerts, special screenings as well as annual Women’s Parade and Market as well as The Dhow Race will round out an incredible schedule for ZIFF 2015.

 ZIFF is also extremely proud to announce as its Chief Guests, internationally renowned hip-hop recording artist, actor and activist Mos Def.  Mos Def will take part in a number of official activities during the festival along with Leleti Khumalo who will host the South Africa Day events as well as special screenings of some of her films.

 Please find below the full schedule for ZIFF 2015. More information on all these events can be found at www.ziff.or.tz with daily news and updates on www.facebook.com/zanzibarinternationalfilmfestival and on twitter @ZIFF_2015

11752450_1119241188091514_4072128734143661513_n#‎ZIFF2015‬ is proud to announce that Mos Def Official aka Yasin Bey, will be a Chief Guest at the festival this year!

FILM SCREENINGS OLD FORT: AMPHITHEATRE

 Saturday: 18th July, 2015 – OPENING NIGHT

19:00 – 22:00     Opening Ceremony

20:00 – 22:10     Opening Film – Selma (128min), USA

22:00 – 02:00     Opening Ceremony at Mambo Club

Sunday: 19th July, 2015 – SOUTH AFRICA DAY

19:15 – 19:30     Uthando (20min), South Africa

19:30 – 21:30     Sarafina (117min), South Africa

 Monday: 20th July, 2015

19:15 – 19:45     The Legacy of Rubies (Anim-28min), Germany

19:50 – 20:05     In Reality (11min), Uganda

20:10 – 21:25     Sound Tracks of Life – Moussa Diallo on Bass (72min), Denmark                 

 Tuesday: 21st July, 2015

19:15 – 19:35     Jaya (18min), India

19:40 – 21:20     Eye of the Cyclone (100min), Burkina Faso           

 Wednesday: 22nd July, 2015

19:15 – 20:45     Difficult Dialogues: Public Forum

20:50 – 22:30     Price of Love (99min), Ethiopia

 Thursday: 23rd July, 2015

19:15 – 20:10     New Generation Queens (55) USA /Tanzania

20:15 – 21:15     Twende (52min), Italy/Tanzania

 Friday: 24th July, 2015 – SWAHILI DAY

19:15 – 19:45     Samaki Mchangani, (30min) Tanzania

19:50 – 21:20     Going Bongo, (90min) USA

 Saturday: 25th July, 2015

19:00 – 21:00     Awards Ceremony

21:00 – 02:00     Celebrations at Mambo Club

 Sunday: 26th July, 2015

19:15 – 20:30     I shot Bi Kidude (75min), Tanzania

20:40 – 02:00     Closing Performances at Mambo Club

 

FILM SCREENINGS:  MARUMARU HOTEL

 Sunday: 19th July, 2015

10:00 – 11:10     Miners Shot Down (52 min) South Africa

11:20 – 13:20     City of Violence (110min), South Africa

13:20 – 14:00     BREAK

14:00 – 15:30     Jongo Love (90min), Kenya

15:40 – 16:40     Prisoner 467/64: The Untold Legacy of Andrew Mlangeni (53min), South Africa

16:45 – 17.50     Wazi FM, (62min) Kenya

 Monday: 20th July, 2015

10:00 – 11:10     Beautiful Tree, Severed Roots (70min), Kenya

11:20 – 13:20     Munnariyippu/The Deadline (114min),

13:20 – 14:00     BREAK

14:00 – 15:30     Kutakapokucha (84min), Tanzania

15:40 – 17:50     Habibie and Ainun (121min), Indonesia

Tuesday: 21st July, 2015

10:00 – 12:00     Pride (119min), UK

12:10 – 13:15     Single Zero (62min), Tanzania

13:15 – 14:00     BREAK

14:00 – 15:30     Sugarcane Shadows (84min), Mauritius

15:40 – 16:35     Maramaso (53min), Kenya

16:40 – 17:35     The Beauty That I Saw (51min), USA

 

Wednesday: 22nd July, 2015

10:00 – 12:45     Mr Kadamanja (164min), Tanzania

12:45 – 13:15     Shadow Fighters (30min), Denmark/Tanzania

13:20 – 14:00     BREAK

14:00 – 15:25     Pishu (83min), Tanzania

15:30 –                   17:00     Nightrunners (89min), Kenya

 

Thursday: 23rd July, 2015

10:00 – 12:00     The Gods of Water (115min), Argentina/Ethiopia/France

12:05 – 13:10     Wazi? FM (62min), Kenya

13:10 – 14:00     BREAK

14:00 – 15:40     The Last Drive-in Theater (98min), Brazil

15:50 – 17:25     Superstition (118min), Uganda

 

Friday: 24th July, 2015    SWAHILI DAY

10:00 – 11:10     Nyange Kigoma (70min), Tanzania

11:20 – 13:05     Daddy’s Wedding (101min), Tanzania

13:05 – 14:00     BREAK

14:00 – 16:15     VIP (132min), Tanzania

16:20 – 17:30     Mapenzi ya Mungu (70min), Tanzania

 

Saturday: 25th July, 2015

10:00 – 12:35     Msago (153min), Tanzania

12:40 – 13:00     Mbwa Mwitu (21min), Tanzania

13:00 – 14:00     BREAK                                                                  

14:00 – 15:10     Obohoz 2.0 (68min), Kenya

15:20 – 17:05     Fundi Seremala (103min), Tanzania

17:10 – 17:25     King of Guangzhou (14min), USA

 

Sunday: 26th July, 2015

10:00 – 12:05     Morbayssa (123min), Guinea Conakry

12:10 – 13:02     Miners Shot Down (52 min) South Africa

13:05 – 14:00     BREAK

14:00 – 15:40     Simshar (100min), Malta

15:45 – 16:55     Algun Lugar/On the Road Somewhere (70min), Dominican Rep

17:00 – 17:11     In Reality (11min), Uganda

17:15 – 17:20     Orisha’s Journey (5min), USA

 

FILM SCREENINGS:  TAUSI HOTEL

 

Sunday: 19th July, 2015

10:00 – 10:35     A Promised Rose Garden (33min), Germany

10:40 – 10:56     A Coeur Ouvert (16min), France

11:00 – 11:20     A Hotel Room Story (18min), Spain

11:20 – 11:25     92 Dreamin (Anim-4min), USA

11:30 – 11:45     Amor a Primera vista/ Love at first sight (14min), Spain

11:50 – 12:15     Angles of my Face (22min), Kenya

12:20 – 12:36     Artificio Conceal (16min), USA

12:40 – 13:00     Bahar in Wonderland (16min), Germany

13:00 – 14:00     BREAK

14:00 – 14:15     As I am (14min), South Africa

14:20 – 14:30     Camouflage (8min), Germany

14:30 – 14:45     Castillo y el Armado (Anim-13min), Brazil

14:50 – 15:20     Every Day is a Small Life (27min), France

15:25 – 15:50     Faraja (22min), Tanzania

15:55 – 16:05     Harsh (8min), Brazil

16:10 – 16:25     Intellectual Scum (14min), Kenya

16:30 – 16:46     Islands (16min), UK

16:50 – 17:05     Italian Standoff (12min), Germany

17:10 – 17:30     Jaya (18min), India

 

Monday: 20th July, 2015

10:00 – 10:15     The Dinner (15min), Germany

10:20 – 10:26     Croc in a Museum (7min), Burundi

10:35 – 11:16     Mousse (41min), Sweden

11:20 – 11:50     Prelude to a Torn House (26min), Colombia

11:50 – 12:30     Ram (25min), India

12:35 – 13:00     Rough Town (25min), Germany

13:00 – 14:00     BREAK

14:00 – 15:10     El mal trato/Maltreatment (68min), Chile

15:15 – 16:15     Shadeism: Digging Deeper (57min), Canada       

16:15 – 16:30     King of Guangzhou (14min), USA

16:35 – 16:45     The Girl (8min), India

16:45 – 16:50     The Rwandan Genocide: Reunited through Polaroid’s (5min), Rwanda

16:50 – 17:10     Taweez – The Talisman Writer (20min), Germany

17:15 – 17:35     Shehnai (16min), Pakistan

 

Tuesday: 21st July, 2015

10:00 – 10:30     The Legacy of Rubies (Anim-28min), Germany

10:35 – 11:15     The Road We Travel (37min), Uganda

11:20 – 11:41     The Last Will (21min), Germany

11:45 – 12:10     Tjitji the Himba Girl (22min), Namibia

12:15 – 12:35     The Broken Heart (18min), Germany

12:40 – 12:45     With Best Regards (5min), Australia

12:50 – 13:05     Routine (14min), South Africa

13:05 – 14:00     BREAK

14:00 – 14:25     Soko Sonko /The Market King (22min), Tanzania

14:30 – 14:55     The Hustle (25min), Turkey

15:00 – 15:30     Agi / Elegy (30min), Iran

15:35 – 15:45     Detour (10min), Singapore

15:50 – 16:15     Ella (25min), Germany

16:20 – 16:40     Lahza (17min), Egypt

16:45 – 16:55     Kilimo 2 (Anim-6min), Tanzania

16:55 – 17:25     Red Over the Rainbow (27min), Vietnam

17:25 – 17:30     Red Card (3min), Mauritius

 

Wednesday: 22nd July, 2015 – SEMBENE FILMS

10:00 – 10:15     Lesley (15min), USA

10:20 – 10:45     O Canto da Iona (25min), Brazil

10:50 – 11:05     Maruna (15min), Senegal

11:10 – 11:25     Aisaa’s Story (15min), USA

11:30 – 11:45     Madama Esther (15min), Madagascar

11:50 – 12:00     SHORT BREAK

12:05 – 12:30     Damaru (24min), Cameroon

12:35 – 12:52     Houkak (17min), Morocco

12:55 – 13:01     Kilimo 2 (6min), Tanzania

13:01 – 14:00     BREAK

14:00 – 14:16     Kwaku (16min), Ghana

14:20 – 14:50     Samaki Mchangani (30min), Tanzania

14:55 – 15:11     Liberte Emprisonnee (16min), Senegal

15:11 – 15: 25    SHORT BREAK

15:25 – 15:50     Soko Sonko (22min), Kenya

15:55 – 16:15     Uthando (20min), South Africa

16:20 – 16:36     Grandma Knows Best (16min), Ethiopia

16:40 – 16:55     Vitrin (15min), Cameroon,

17:00 – 17:15     Green Gold (13min), Iran/USA

17:15 – 17:20     Lami (2min), Japan

 

Thursday: 23rd July, 2015

10:00 – 11:40     Diamond Tongues (100min), Canada

11:50 – 12:55     The Springboard (63min), Burundi

12:55 – 13:00     Red Card (3min), Mauritius

13:00 – 14:00     BREAK

14:00 – 16:16     Mikono Salama (136min), Tanzania

16:20 – 17:51     Strength of a Woman (91min), Kenya

 

Friday: 24th July, 2015

10:00 – 10:45     21 Icons – A Journey to Democracy (45min), South Africa

10:50 – 12:10     Abasezi/The Night Dancers (78min), Ireland/Uganda

12:20 – 13:01     Low Season (41min), Germany

13:05 – 14:00     BREAK

14:00 – 15:25     Ady Gasy (81min), Madagascar

15:30 – 16:30     September (54min), Kenya

16:35 – 17:10     NAPPS – Memoire of an Invisible Man (31min), Germany

17:15 – 17:20     Orisha’s Journey (5min), USA

 

Saturday: 25th July, 2015

10:00 – 11:10     Bintou (68min), Germany

11:10 – 12:25     Dancing With Maria (75min), Italy/Argentina/Slovenia

12:30 – 12:41     Papa Machete (11min), USA

12:45 – 13:05     Grandma Knows Best? (16min), Ethiopia

13:05 – 14:00     BREAK

14:00 – 15:00     Life is Waiting: Referendum and Resistance in Western Sahara (60min), Western Sahara

15:10 – 16:50     Life in Progress (99min), Switzerland

16:55 – 17:50      Twende! Let’s go! (52min), Italy

 

Sunday: 26th July, 2015

10:00 – 11:30     Fevers (Fievres-90min), France

11:30 – 12:00     Red Over the Rainbow (27min), Vietnam

12:00 – 17:30     Winning Films

 

 

SPECIAL SCREENINGS AT ZANCINEMA

 Sunday: 19th July, 2015

19:00 – 20:40     Virunga (96min), DRC

20:45 – 21:25     Still Got Lives (23 min) Germany

21:30 – 22:20     Socotra: The Hidden Land (40min) Spain

 

Monday: 20th July, 2015

19:00 – 21:00     Munnariyippu/The Deadline (114min),

21:00 – 22:00     Wazi FM, (62min) Kenya

 

Tuesday: 21st July, 2015

19:00 – 20:00     Maramaso (53min), Kenya

20:05 – 21:25     The Art of Ama Ata Aidoo (78min), Ghana

 

Wednesday: 22nd July, 2015

19:00 – 20:30     Nightrunners (89min), Kenya

20:30 – 20:55     The Gulped of the Blue (20min), Togo

 

Thursday: 23rd July, 2015

19:00 – 20:15     Sound Tracks of Life – Moussa Diallo on Bass (72min), Denmark

20:15 – 21:45     Jongo Love (90min), Kenya

 

Friday: 24th July, 2015

19:00 – 20:40     Simshar (100min), Malta

20:40 – 21:10     Shadow Fighters (30min), Denmark/Tanzania

21:10 – 22:10     Shadeism: Digging Deeper (57min), Canada

 

MUSIC AND PERFORMING ARTS PROGRAMME: MAMBO CLUB

All performances start after main film screening.

 

Sat July 18th

Indian Dance Group

Damian Soul (Tanzania)

Cocodo Band (Tanzania)

DJ

 

Sun July 19th

Paco Renteria  (Mexico)

Luanga Choba (South Africa)

Dorothy Masuka (South Africa)

DJ

 

Mon July 20th

Msami (Tanzania)

Zanzibar One (Zanzibar)

Mousa Diallo (Mali/ Denmark)

DJ

 

Tues July 21st

Sosoliso Kidumbak (Zanzibar)

Baraka de Prince (Tanzania)

Yamato band (Tanzania Band)

DJ

 

Wed July 22nd

Bi. Shakira (Tanzania)

Patricia Hilal (Tanzania)

TID (Tanzania)

Bushoke (Tanazia)

DJ

 

Thurs July 23rd

Smile (Zanzibar)

Navy Kenzo (Tanzania)

Mrisho Mpoto & Irene Sanga

DJ

 

Fri July 24th

Baby J (Zanzibar)

Ruby (Tanzania)

Vanessa Mdee (Tanzania)

Antique (USA)

 

Sat July  25th

Afro Jazz

Barnaba (Tanzania)

Christian Bella (DRC / Tanzania)

DJ

 

Sun July 26th

Sultan King (Zanzibar)

AT (Zanzibar)

Weusi (Tanzania)

DJ

 

CHILDREN AND YOUTH FILM PANORAMA FILM SCREENINGS

 

VENUE: ZANCINEMA – UNGUJA.

19th July, 2015

10:00 – 12:30.   Buricheka (15Min.Tanzania) (Dialogue 10Min ), Sarafina (117min), South Africa

14:00 – 16:30.   New Generation Queens (55Min) (Dialogue 10Min)

Samaki mchangani (30Min), Jaya(18Min.India)

                                    Soko Sonko (22Min.Tanzania (Dialogue 10Min)

 

20th July, 2015.

10:00 – 12:30     New Generation Queens (55min.Tanzania)(Dialogue 10Min)

Askari Wakali (8Min.Tanzania)

                                    Khumba (84Min.South Africa).

 

14:00 – 16:30     The Legacy Of Rubies 28 Min. Germany), (Dialogue 10Min)

Buricheka (15Min.Tanzania)

                                    Khumba (84min.South Africa) (Dialogue 10Min)

Kilimo 2 (6Min), Tanzania      

 

21st July, 2015

10:00 – 12:30     Faraja (Tanzania, 22min) (Dialogue 10Min)

Yesterday (South Africa, 117Min) (Dialogue 10Min)

14:00 – 16:30     Jaya (18Min.India) (Dialogue 10Min)

Storm (86Min), Denmark (Dialogue 10Min)

22nd July, 2015

10:00 – 12:30      Soko Sonko (22Min.Tanzania) (Dialogue 10Min) 

Kilimo2 (6Min.Tanzania), Sarafina (117min), South Africa

14:00 – 16:30      Kalume Kenge (14Min Tanzania) (Dialogue 5Min)

The Legacy of Rubies (28Min, Germany (Dialogue 5Min)

                                    Samaki Mchangani(30Min), Tanzania

 

23rd July, 2015.

10:00 – 12:30     UNICEF Burundi Children Films (10min, Burundi) (Dialogue 10Min)

Sarafina (117Min.South Africa) (Dialogue 10Min

14:00 –16:30      Samaki Mchangani (30Min), Tanzania (Dialogue10Min)                 

Khumba (84Min), South Africa, Faraja (22min), Tanzania (Dialogue10Min)

    

24th July, 2015.

10:00 – 12:30     Buricheka (15Min.Tanzania)

Yesterday (117Min), South Africa (Dialogue 10Min)  

14:00 – 16:30     New Generation Queens (55min.Tanzania) (Dialogue 5Min)  

Yesterday (South Africa, 117Min), South Africa

 

25th July, 2015.

10:00 –12:30      Askari Wakali(8Min.Tz.), Storm(86Min.Denmark) (Dialogue10Min)

Jaya (18Min), India, Kalume Kenge, (14Min), Tanzania                                                                                             

The Legacy of Rubies (28Min), Germany (Dialogue 10min)

 

14:00 – 16:30     Kilimo 2 (6Min), Tanzania, Kalume Kenge, (14Min), Tanzania (Dialogue 10Min)

Sarafina (117Min), South Africa

 

26th July, 2015 15:00 – 18:00    FAMILY DAY – OLD FORT

 

VENUE: MACHOMANE – PEMBA.

24th July, 2015.

19:00 – 21:00     Samaki Mchangani (30 Min Tanzania).(Dialogue 5Min)

Sarafina (117Min), South Africa

 

25th July, 2015.

19:00 – 21:00     Bulicheka (15Min), Tanzania, Askari Wakali (8Min), Tanzania (Dialogue 5Min)

Khumba (84Min), South Africa

26th July, 2015.

19:00 – 21:00     Faraja (22min), Tanzania (Dialogue 5Min)

Nyange Kigoma (65Min), Tanzania, Jaya (18Min), India

 

VILLAGE PANORAMA PROGRAM

 

18th July, 2015   Makunduchi

19:00 – 21:00     Samaki Mchangani (22min), Tanzania.  Khumba (90min), South Africa

 

19th July, 2015                   Matemwe

19:00 – 21:00      Faraja (22min), Tanzania. Kirikou (22min), France, The Gulped of the Blue (20min), Italy

 

20th July, 2015                   Kinyasini

19:00 – 21:00      Soko Sonko (22min), Kenya. Yesterday (96min), South Africa 

 

21st July, 2015  Paje

19:00 – 21:00      Faraja (22min), Tanzania. New Generation Queens (55min), USA/Tanzania

 

22nd July, 2015  Donge

19:00 – 21:00      Shoe Shine (20min), Tanzania. Nyange Kigoma (70min), Tanzania

 

23rd July, 2015   Donge

19:00 – 21:00      Faraja (22min), Tanzania. Going Bongo (90min), USA

 

24th July, 2015   Donge

19:00 – 21:00      I shot Bi Kidude (75min), Tanzania. Twende (52min), Italy/Tanzania

 

25th July 2015  Mahonda

19:00 – 21:00      I shot Bi Kidude (75min), Tanzania. New Generation (55min), USA /Tanzania

 

 

FESTIVAL OF FESTIVALS

 

VENUE: DOUBLE TREE BY HILTON HOTEL-KIJIJI HALL

19th July, 2015

14:00 – 17:30     Beyond Long Walk: In Memory of Danny Schechter (5 Part Series)

 

20th July, 2015  

14:00 – 17:30     Beyond Long Walk: In Memory of Danny Schechter (5 Part Series)

 

21st July, 2015

14:00 – 17:30     AFDA – Film School Presentation

 

22nd July, 2015

14:00 – 17:30     ECOCLIPS and SAZANI

 

23rd July, 2015  

14:00 – 17:30     Iranian Cultural Centre – Dar es Salaam

 

24th July, 2015  

14:00 – 17:30     70years Anniversary of the United Nations: UNICEF Burundi Children Presentation

 

25th July, 2015

14:00 – 17:30     OPEN

 WORKSHOPS/FORUMS/EXHIBITION/EVENTS/CONFERENCES

 FESTIVAL DAILY PRESS CONFERENCE:

18th – 26th July, 2015 12:30 – 14:00 DoubleTree by Hilton Hotel/Media Center

 

ZUKU LOUNGE: DAILY INDUSTRY NETWORKING EVENT

18th – 26th July, 2015 17:00 – 18:45 Old Fort – Amphitheatre

 

SWAHILI DAY FORUM:

24th July, 2015   10:00 – 13:00     KIJIJI HALL – DOUBLETREE BY HILTON HOTEL

Distributing of the Bongo Film on TV, Discussion by ZUKU

Bahati (70min), Tanzania and Gitaa Langu (80min), Tanzania

 

EAFN DIGITAL MIGRATION FORUM

23rd – 25th July, 2015       DCMA/Grand Palace Hotel

 

MAISHA LAB: SCREENWRITING WORKSHOP

18th – 25th July, 2015       Dreams Hotel Zanzibar

 

 

THE LAB COMMUNITY WORKSHOP: PAN AFRICANISM AND GOOD LEADERSHIP IN AFRICA

21st – 23rd July, 2015        10:00 – 16:00     DCMA

 

WORKSHOP: TO TWEET OR NOT TO TWEET?

How Journalists can benefit from Twitter and Other Social Media

20th July, 2015   10:00 – 16:00     Monsoon Restaurant

 

THE 100 SECONDS FILM PRODUCTION WORKSHOP.

23rd – 25th July, 2015       10:00 – 16:00     Media Centre – DoubleTree by Hilton Hotel

 

VILLAGE PANORAMA WORKSHOP – TRAINING FILM FACILITATORS

13th – 16th July, 2015 09:00 – 16:00 Reclaim Women Heritage Centre

 

ZANZIBAR WOMEN’S VOICES WORKSHOP

22nd – 29th July, 2015      Mkokotoni Village

 

PHOTOGRAPHY EXHIBITION:

Surreal Beauty and Degradation by Shams Bhanji

18th – 25th July, 2015       Marumaru Hotel

 

SAVE THE CHILDREN EXHIBITION

19th – 26th July, 2015 Forodhani Gardens

 

PAINTING EXHIBITION: 

ART AND UTERUS CANCER by Yahya Mzee (Kolaartist)

20th – 26th July, 2015       Floating Restaurant

 

MWAKA KOGWA CELEBRATION (NEW YEAR)

19th July, 2015 – Makunduchi Village

Buses Leaving from Old Fort at 08:00

 

TAMASHA LA UTAMADUNI WA MZANZIBARI

21st – 25th July, 2015        Unguja

21st July – Opening – Bwawani Hotel,

22nd – 25th July – Exhibition – Makumbusho Kuu – Mnazi Mmoja

22nd – 25th July – Village Film Screenings in Pemba and Unguja

23rd July – Bull Fighting – Pemba

25th July – Closing Ceremony – Fumba, Unguja

 

DIFFICULT DIALOGUES: PAN AFRICANISM

22nd July, 2015 19:15 – 20:45 Old Fort Amphitheatre

 

DHOW RACE

19th July, 2015   14:00 -17:00       Tembo Hotel

 

FAROUQUE ABDELLA BOOK LAUNCH

23rd July, 2015 16:00 – 17:00 ZUKU Lounge Old Fort Amphitheatre

Guest: Yasiin Bey aka Mos Def


Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

MAISHA BASEMENT burudani zitakuwa zikianza JUMATATU mpaka JUMATATU, soma zaidi hapa

$
0
0

IMG_20150714_094408

Maisha Basement zamani ilikuwa ikiitwa NEW MAISHA CLUB kwa sasa imehamia Makumbusho Kijitonyama jengo jipya la LAPF TOWERS. Club hii ni mpya na ya kisasa yenye uwezo wa kuchukua watu mia saba (700) yenye vifaa vya kisasa na dance floor ya kisasa yenye uwezo wa kurusha matukio live kama video na mechi za mpira.

Uzinduzi wa Maisha Basement utafanyika kwa siku 3 tofauti, uzinduzi wa kwanza utakuwa Jumatano ya tarehe 15.07.15 ambapo tutazindua na watu maarufu mbalimbali, na uzinduzi wa pili utakuwa Alhamis ya 16.07.15 na siku hii tutawaalika watu mbalimbali kutoka katika makampuni (Corporate People).

Na uzinduzi rasmi wa MAISHA BASEMENT utakuwa siku ya EID MOSI, ambapo tutakuwa na burudani mbalimbali, na mgeni rasmi atakuwa ni mkuu wa wilaya ya KINONDONI Mh PAUL MAKONDA. Siku hii kiingilio ni shiling elfu 10 tu. Burudani zetu zilikuwa zinaanza Jumatano mpaka Jumapili, lakini hapa Maisha Basement burudani zetu zitaanza Jumatatu mpaka Jumatatu.

IMG_20150714_094525IMG_20150714_095034IMG_20150714_095103IMG_20150714_095432IMG_20150714_100546


Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

WELCOME TO 6th INTERN. AFRICAN FESTIVAL TUEBINGEN,GERMANY FROM 23-26 JULY 2015

$
0
0

Flyers Afrikaktiv-Ngoma Africa Band

Dear Africans, friends and well-wishers of Africa,
Summer is around the corner! It’s time to relax and spend quality time with friends, family and well-wisher at the largest extravaganza African Diaspora festival taking place for the 6th time in Down-town Tübingen in Germany from the 23 to the 26h of July 2015 at the African Village (Festplatz).


Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

Africa Muzik Magazine Awards (AFRIMMA) 2015 NOMINEES

$
0
0

afrimma_web_nominees1

Best Male West Africa
Davido (Nigeria)
Serge Beynaud (Ivory Coast)
Wizkid (Nigeria)
Sarkodie (Ghana)
Flavour (Nigeria)
Carlou D (Senegal)
Olamide (Nigeria)
Stonebwoy (Ghana)
Best Traditional Artist
Flavour (Nigeria)
Kwabena Kwabena (Ghana)
Dobet Gnahore (Ivory Coast)
Ladysmith Black Mambazo (South Africa)
Mrisho Mpoto (Tanzania)
Soweto Gospel Choir (South Africa)
Tunakie (Namibia
Best Female West Africa
Yemi Alade (Nigeria)
Wiyaala (Ghana)
Tiwa Savage (Nigeria)
Viviane Child (Senegal)
Teeyah (Ivory Coast)
Becca (Ghana)
Almok (Togo)
Efya (Ghana)
Best Newcomer
Kiss Daniel (Nigeria)
Pappy Kojo (Ghana)
Korede Bello (Nigeria)
Lil Kesh (Nigeria)
Mz Vee (Ghana)
Fabregas (Congo)
Ommy Dimpoz (Tanzania)
Bebe Phillip (Ivory Coast)
Best Male East Africa
Eddy Kenzo (Uganda)
Jaguar (Kenya)
Diamond Platnumz (Tanzania)
Bebe Cool (Uganda)
Jackie Gosse (Ethiopia)
Ali Kiba (Tanzania)
Dynamq (South Sudan)
Best Video Director
Moe Musa (Nigeria)
Godfather (South Africa)
Clarence Peters (Nigeria)
Patrick Ellis (Nigeria)
Klasszik & JKP Studio (Angola)
Justin Campos (South Africa)
Ogopa Djs (Kenya)
Phamous Films (Ghana)
Best Female East Africa
Khadija Kopa (Tanzania)
Aster Aweke (Ethiopia)
Victoria Kimani (Kenya)
Vanessa Mdee (Tanzania)
Juliana Kanyamozi (Uganda)
STL (Kenya)
Irene Ntale (Uganda)
Best DJ Africa
Dj Jimmy Jatt (Nigeria)
Dj Exclusive (Nigeria)
Dj Cndo (South Africa)
Dj Black (Ghana)
Dj Creme de la Creme (Kenya)
DJ Shiru (Uganda)
Dj Joe Mfalme (Kenya)
Best Male Central Africa
Fally Ipupa (DR Congo)
Yuri Da Cunha (Angola)
Fabregas (Congo)
Nelson Freitas (Cape Verde)
Ferra Golla (Congo)
Corean Du (Angola)
Jovi (Cameroon)
Youssoupha (DRC)
Best African DJ – USA
DJ Shinski (Kenya)
DJ Ebou (Gambia)
DJ Ecool (Nigeria)
DJ Ronnie (Ghana)
DJ Dee Money (NG/US)
DJ Ronnie (GH/US)
Dj Amin (Ethiopia)
Dj Dozzy Ross (Nigeria)
Best Female Central Africa
Arielle T (Gabon)
Coco Argentee (Cameroon)
Betty Akna (Equitorial Guinea)
Lady Ponce (Cameroon)
Yola Semedo (Angola)
Laurette Le Pearle (DRC)
Mani Bella (Cameroon)
AFRIMMA Video of the Year
R2bees – Lobi (Ghana)
Wizkid Ojuelegba (Nigeria)
Flavour – Gollibe (Nigeria)
Diamond ft Flavour – Nana (Tanzania)
Tiwa Savage – My Darlling (Nigeria)
Bebe Cool – Love You Everyday (Uganda)
Juliana Kanyomozi – Woman (Uganda)
AKA – Congratulate (South Africa)
Best Male Southern Africa
AKA (South Africa)
Zeus (Botswana)
Cassper Noyvest (South Africa)
Slap Dee (Zambia)
Stunner (Zimbabwe)
Tha Dogg (Namibia)
Donald (South Africa)
Vee (Botswana)
Music Producer of the year
Shizzi (Nigeria)
Don Jazzy (Nigeria)
Killbeatz (Ghana)
Oskido (South Africa)
Nash Wonder (Uganda)
Sheddy Klever (Tanzania)
Legendary Beatz (Nigeria)
Dj Breezy (Ghana)
Best Female Southern Africa
Bucie (South Africa)
Toya De Lazy (South Africa)
Ice Queen Cleo (Zambia)
Busiwa (South Africa)
Punah Gabasiane (Botswana)
Lizha James (Mozambique)
Samantha Mogwe (Botswana)
Best Dance Group
CEO Dancers
Unique Silver Dancers
Level 5
Imagneto Dance Company
D3 Dancers
Best African Group
square (Nigeria)
Bana C4 (Congo)
Toofan (Togo)
Sauti Sol (Kenya)
B4 (Angola)
Black Motion (South Africa)
R2bees (Ghana)
Magic System (Ivory Coast)
Best Rap Act
Sarkodie (Ghana)
AKA (South Africa)
Olamide (Nigeria)
NGA (Angola)
Octopizzo (Kenya)
Phyno (Nigeria)
Cassper Noyvest (South Africa)
M.I (Nigeria)
Crossing Boundaries with Music
Fuse ODG (Ghana)
Wale (Nigeria)
Knaan (Somalia)
Nneka (Nigeria)
STL (Kenya)
Asa (Nigeria)
Jidenna (Nigeria)
Tinnie Tempah (Nigeria)
Best Collaboration
Harrysong, K Cee & Iyanya – Feel it
J Martins ft Koffi Olamide – Dance for Me
Serge Beynaud ft Eddy Kenzo – Lopangwe
AKA ft Burna Boy, Da L.E.S & J.R – All Eyes on Me
Toofan ft Dj Arafat – Apero
Stanley Enow ft Sarkodie – Njama Njama Cow Remix
P Square ft Don Jazzy – Collabo
Diamond ft Flavour – Nana
Best Dancehall Artist
Stonebwoy (Ghana)
Timaya (Nigeria)
MC Norman (Uganda)
Wax Dey (Cameroon)
Dr Jose Chameleon (Uganda)
Shatta Wale (Ghana)
Patoranking (Nigeria)
Buffalo Soldier (Zimbabwe)
Song of the Year
Wizkid – Ojuelegba (Nigeria)
Korede Bello – Godwin (Nigeria)
Lil Kesh ft Olamide, Davido – Shoki (Nigeria)
Stonebwoy ft Sarkodie – Baafira (Ghana)
Roberto – Amarula (Zambia)
Diamond Platnumz – Ntampata Wapi (Tanzania)
Sauti Sol – Sura Yako (Kenya)
Cassper Nyovest – Doc Shabaleza (South Africa)
Best Dance in a Video
Lil Kesh ft Olamide, Davido – Shoki (Nigeria)
Toofan – Orobo (Togo)
Sauti Sol – Lipala (Kenya)
Fabregas – Mascara (Congo)
Diamond and Flavour – Nana (Tanzania and Nigeria)
Os DeTroia – Bela (Angola)
Serge Beynaud – Okeninkpin (Ivory Coast)
Olamide – Shakiti Bobo (Nigeria)
Artist of the Year
Flavour (Nigeria)
Davido (Nigeria)
Diamond Platnumz (Tanzania)
Sarkodie (Ghana)
Cassper Noyvest (South Africa)
Fally Ipupa (Congo)
Eddy Kenzo (Uganda)
Wizkid (Nigeria)
Yemi Alade (Nigeria)
Bucie (South Africa)
Best Gospel Artist
Sammy Okposo (Nigeria)
Nikki Laoye (Nigeria)
Soweto Gospel Choir (South Africa)
Uche Agu (Nigeria)
No Tribe (Ghana)
Icha Kavons (Congo)
Ntokozo Mbambo (South Africa)
Willy Paul (Kenya)
AFRIMMA Inspirational Song
Bracket ft Diamond & Tiwa Savage – Alive (Nigeria & Tanzania)
Juliana Kanyomozi – Woman (Uganda)
Sarkodie ft Castro – Adonai (Ghana)
Jose Chameleon – Bwerere (Uganda)
Psquare ft Dave Scott – Bring it On (Nigeria)
Eddy Kenzo – Be Happy (Uganda)
AFRIMMA Best Humanitarian Artist
Sound Sultan (Nigeria)
Vanessa Mdee (Tanzania)
2face (Nigeria)
Lady Jaydee (Tanzania)
Wax Dey (Cameroon)
Buffalo Souljah (Zimbabwe)
Judith Sephuma (South Africa)
Majina ya washiriki kutoka Tanzania ni pamoja na Mrisho Mpoto, Ommy Dimpoz, Ali Kiba, Khadija Kopa, Vanessa Mdee, Diamond Platnumz na Producer Sheddy Clever.
Mdau wa mziki sasa kazi kwetu kuwapigia kura washiri hawa wakutoka nyumbani, Bonyeza hiyo link >>>> Nominees 2015 | – Afrimma

Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

Kutoka Facebook msanii AY (@AyTanzania) ameandika kitu kizuri baada ya kukutana na DJ YOUNG GURU

$
0
0

11703337_10153045643958379_1659202525888117269_n

Wengi wanaweza kuwa hawamfahamu huyu jamaa. Anaitwa Young Guru, ni DJ na sound engineer rasmi wa Jay Z na anatajwa kuwa engineer aliyefanikiwa na kuheshimika zaidi kwenye historia ya Hip Hop.

Kama umeiona Fade to Black, utakuwa umemuona sana humo akirekodi sauti za Jay Z studio.

Pamoja na kuhusika sana na kazi za Jay Z, Young Guru pia amefanya kazi na wasanii wengi wakubwa wakiwemo Beyonce, Rihanna , Ludacris, Ghostface Killah, Freeway, Cam’ron, Redman & Method Man, Mariah Carey, Pete Rock, Fabolous, Talib Kweli, Bone Thugs-N-Harmony, T.I, Mary J Blige na wengine.

Alikuja Tanzania wiki iliyopita na ilikuwa ni heshima kubadilishana naye mawili matatu.

Untitled


Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE


NEWS: Rais BARACKA OBAMA awasili NAIROBI amelakiwa na mwenyeji wake Rais UHURU KENYATTA ‪#‎ObamaReturns‬

NEWS: Mtoto wa marehemu Whitney Houston “BOBBI KRISTINA BROWN” afariki dunia muda huu akiwa na umri wa miaka 22

$
0
0

bobbi-kristina-brown-2012-billboard-650 Untitled

Bobbi Kristina Brown, mtoto wa wanamuziki wawili maarufu na waliowahi kutamba sana enzi zao, marehemu Whitney Houston na Bobby Brown, amefariki dunia leo tarehe 26 Julai 2015 huko Duluth, Georgia nchini Marekani akiwa amezungukwa na wanafamilia. Bobbi Kristina amefariki akiwa na umri wa miaka 22. Hiyo ni kwa mujibu wa vyombo mbalimbali vya habari

Mauti imemfika Bobbi Kristina takribani miezi 6 tangu alipokutwa bafuni akiwa hajitambui tarehe 31 January mwaka huu. Alipokutwa alikimbizwa katika hospitali ya North Fulton huko Roswell, Georgia kabla ya kuhamishiwa hospitali ya Emory University.Miezi miwili baadae alihamishiwa katika kituo maalum cha uangalizi wa wagonjwa.

Bobbi Kristina alizaliwa tarehe 4 Machi mwaka 1993 huko Livingston, New Jersey.

Pumzika kwa amani.


Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

Msanii PACE (@Pace_Kenya) kutoka Nairobi yuko tayari kuja na video yake mpya inayoitwa NAPATA, msome zaidi hapa

$
0
0

Napata pc

‘Ian Gituku a.k.a. Pace is an artist from Kenya,Africa. He started music at a very early stage in life by playing the grand piano at his primary school and developed his musical career onto secondary school where he started recording music.Pace is the C.E.O. of Pace Music Entertainment (P.M.E.) which is a recording label situated in Nairobi ,Kenya.He has a unique rapping style which is melodious and has recorded some songs that are quite known in Kenya and overseas. 
 
Pace is a very ambitious artist and will do anything to make sure that all his fans are entertained satisfactorily.Some Of his hit singles are ‘Hands in the air’ , ‘ Twende Safari’ produced by Kevin Provoke & His latest song ‘Songa’ which is a sensation on Kenyan Tvs and radio produced by Magic Mike of Red Republic.’
‘Napata’ is the first track to be released by Pace in the year 2015. The track is a serious celebration of love and fulfillment achieved and felt by your one true love. 
Track is produced, mixed & mastered by Tedd Josiah.
Music composition and Background layering by Pace and Iddi Hemed.
 
Also find the link to Songa & the promotional video he did sometime back on his artist Youtube channel.
 
Twitter : @Pace_Kenya
Instagram : @Pace_Kenya
SoundCloud : Pace Kenya
Interviews/Drops/Bookings : 
 
0703-634-125

Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

Msanii MRISHO MPOTO pamoja na timu nzima ya PSPF waingia Mkoani RUVUMA katika Wilaya ya NAMTUMBO

$
0
0

DSC_7762 DSC_7783 DSC_7791 DSC_7842 DSC_7861

Msanii Mrisho mpoto leo ametembelea Baadhi ya shule zilizopo Mkoani Ruvuma katika Wilaya ya Namtumbo kiijiji alipozaliwa
Hii ni kwa msukumo na msaada kutoka PSPF katika jicho lingine la kuitazama Elimu ikiwa kama chanzo na mwanzo mzuri kwa kizazi kijacho
Misaada hiyo iliyotolewa na Mrisho Mpoto akiwa kama balozi wa PSPF ni pamoja na vifaa vya shule na vitendea kazi kwa wanafunzi hao a shule za msingi.

Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

RUMORS: YOUNG BUCK May Be Headed Back To Prison Over MARIJUANA?

$
0
0

young-buck

It seems like Young Buck is in trouble with the law again. The G Unit rapper, whose real name is David Darnell Brown, is in trouble after he failed four drug tests while on probation. Last year Young Buck missed two drug tests and barely escaped more jail time for violating his probation. He violated his probation earlier this year when he attempted to fake a urine test and admitted to smoking marijuana with Snoop Dogg. It looks like Buck could be headed back to prison as the U.S. Attorney doesn’t believe he is taking his probation serious since he continues to use drugs. Young Buck better reconsider his love for weed right now.

SOURCE: http://allhiphop.com


Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

PHOTO’S: Mhe. Edward Lowassa akiwasili makao makuu ya Chadema Kinondoni jijini Dar es salaam

$
0
0

10985376_385083758350895_3934146143560048902_n

Mh. Edward Lowassa akiwasili makao makuu ya Chadema Kinondoni jijini Dar es salaam leo Alhamisi 30 Julai 2015, Kwa ajili ya kuchukua fomu ‪#‎JIANDIKISHE4VOTE2015‬ 11781826_385083781684226_357795049357982425_n 11781859_385083685017569_82468507562417295_n

11222194_385077578351513_3165626512570599484_n 11781611_385077501684854_727395563038413522_n 11796411_385077678351503_929085411702973400_n 11800076_385077711684833_1869474225607490365_n 11822387_385068365019101_4117247182914344472_n 11825043_385069858352285_5726169163347340811_n 11828776_385074468351824_7023871871251804279_n

11701197_385086115017326_339632401436978029_n 11822619_385087661683838_2353325566626185466_n

Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Mbowe (Wa kwanza kushoto) akizungumza na Edward Lowassa na mke wake Regina Lowassa (wa kwanza kulia) alipowasili katika ofisi za Chadema makao makuu kwa ajili ya kuchukua fomu, (Wa pili kushoto) ni naibu katibu mkuu Zanzibar Salum Mwalimu 11822813_385086135017324_6603994543443399571_n

Mhe. Edward Lowassa (kushoto) na akiwa na mke wake Regina Lowassa wakisaini datari la wageni katika ofisi za Chadema makao makuu jijini Dar es salaam, Leo Alhamisi 30 Julai 2015

11059601_385091355016802_8885760366441846382_n

Mwanasheria mkuu wa Chadema Mhe. Tundu Lissu akiongea katika ghafla fupi ya Mhe.Edward Lowassa akichukua fomu katika ofisi za Chadema makao makuu jijini Dar e salaam


Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

MWALIMU WA YOGA NA KARATE WA KIMATAIFA RUMADHA FUNDI AZICHAMBUA FAIDA ZA MAZOEZI YA YOGA

$
0
0

Mwalimu wa kimataifa wa Yoga Na Karate Sensei Rumadha Fundi

SENSEI RUMADHA FUNDI ACHAMBUA FAIDA ZA MAZOEZI YA YOGA 
 
ELIMIKA NA FAIDIKA NA MAZOEZI YA YOGA !
Mwalimu wa Yoga wa kimataifa, Sensei Rumadha Fundi katika mazoezi tofauti ya sanaa ya Yoga, akielezea ni nini hasa maana ya kutafakari kwa njia ya sanaa ya Yoga.

Meditation & Mantra

Mara nyingi neno”Meditation” au kutafakari huchanganywa  na kufikiri ni kukaa kimya kufumba macho kiufanisi au kuwaza jambo fulani. Pia, wengine huchanganya hili neno na kuwa umekaa kimya na kujaribu kutofikiria lolote, ama pia kuivuta au kuisukuma akili yako na kutoku fikiria kitu cha iana yeyote ile muda wote wa kutafakari na kuamini kwamba hiyo ni “Meditation” au Tafakari. Kamwe, hamna hata moja ya mifano hii inaweza kuifikia maana yake halisi katika mfumo kisayansi na filosofia ya “Yogic”.

Kisayansi ya Yoga, “Meditation” inaitwa “Mtiririko wa akili”( Flow of the mind).” Kuiongoza akili au mawazo ya mtu kupia Meditation, inahitaji pointi au sehemu muhimu katika maungo yako unayo kuwa unatumia kama vile mfano wa mionzi ya akili kuirushia na kuelekeza katika sehemu moja tu. Hivyo kwa kutumia msaada wa sauti maalum itwayo “Mantra”, hiyo ndio chombo hutumika kupitia mkufunzi aliye hitimu  Sanaa ya Yoga na kufundisha kutokana na mazingira tofauti kati ya tofauti za watu zilivyo.

Kama jinsi inavyoelezwa katika filosofia ya Yoga kwamba, akili ya mwana adam, kamwe  haitulii, wakati wote ipo mbio na inatafuta cha kufikiri, hivyo basi huwa ni kazi ngumu sana kwa mtu hata kuanza tu somo la kwanza (First lesson), kwa mistuko ya mchanganyiko wa mawazo ya mwana adam. Hivyo huwa taabu sana kukusanya mawazo yako binafsi na kufanya meditation bila muongozo wa kiutaam.

Napenda kuongelea vitu vichache hapa. Kuna vitu, au pointi tano tofauti zilizo muhimu na utumika katika mbinu za kutafakari kwa jina la “Sense withdrawal”, ambayo huitajika ili uweze kushawishi akili yako na mawazo kwamba utaweza kutafakari bila vikwazo vya mawzo yoyote au kuwa na utata katika mfomo mzima wa kutafakari. Ufuatao ni muktasari tu wa jinsi gani wana-Yoga wana tafakari kwa masaa mengi bila mgongano au (interraption) kupitia njia hii:

Mwalimu wa Yoga na Karate Sensei Rumadha Fundi kifanya vitu vyake

1.       Asana (Mkao wa mazoezi ya Yoga): “Lotus posture” kukunja miguu. Faida zake; kuweza kumiliki viungo vya mwili wakati wa kutafakari. Ndipo jinsi unaweza kumiliki viungo vya mwili wako vinavyokuwezasha kuona vitu “Sensory organs”. Kufumba macho, kutokuona kinachoendelea nje ya upeo wa macho ili kuweza kuelekeza mionzi ya fikra zako (Focus) sehemu moja tu. Kukunja ulimi zidi ya dari ya mdomo “Roof of the mouth” (Palate) wako ili kuweza miliki hamu ya kuonja radha au haja ya chakula chochote kile (Control taste). Kukunja mikono na vidole kuweza kumiliki hamu ya kushika kitu  (Control sense of touch). Kitu kisicho wezekana kukimiliki ni harufu ( Sense of smell), na ndio maana “Meditation” hufanywa katika mazingira  safi bila moshi wala harufu mbaya kuepuka mkatiko wa mtiririko wa mawazo waka wa kutafakari.

2.      Kutoka katika mazingira ya mzumguuko wako wa kila siku (Withdrawl from external world) “Bhuta Shuddhi”. Kujitoa kimawazo kiuwoga wa matatizo ya kila siku kimaisha, kuwa umetulia mwili wako wakati wa kutafakari (Relaxation).

3.      Kujitoa kimawazo katika mwili wako mwenyewe (Withdrawal from the body) “Asana Shuddhi”. Kutowaza lolote kuhusu mwili wako na hali yake nzima au kutokuambatanisha fikra zako katika maumbile ya mwili wako ( Withdrawal from each parts of your body; concentrate in one singular point) “Ista Chakra”.

4.      Kujitoa kabisa kimawazo (Withdrawal from thoughts of interruption) “Citta Shuddhi”, hapa katika hatua hii, mraba wa akili unakuwa unaelea kimawazo sambamba katika anga za ulimwengu (Total suspension of mind in cosmic space; Consciousness)

5.      Mtiririko wa mawazo na Mantra ( Flow of mind) “Dhyana” hii ndio njia nzima ya utaratibu wa kufanya Meditation, au kwa namna nyingine ni  mwanzo wa Kutafakari (Process to start meditating). Hapa ndipo sasa mkufunzi wa taaluma ya Yoga anakuwa anarudia kimoyo moyo Mantra aliyoisoma, sasa hapa ndipo mwanzo wa kile tunaita  “Tafakari”. (Meditation).

Mwalimu wa Yoga na Karate wa kimataifa Sensei Rumadha Fundi

zipo njia nyingi zaidi za kufanya “Meditation”  au kutafakari ngazi ya juu zaidi  kupitia njia ya pumzi au “Prana Yama”(Vital Breathing). Hivyo, huu hapa ni muktasari tu wa jinsi na namna gani tunaitafsiri “Meditation ” au kutafakari kupitia mafunzo ya Yoga. Hayo pia ni machache naona vizuri kushirikiana na kumulika mwanga kidogo kwa wale wasio fahamu nini hasa maana ya Meditation kupitia Sanaa ya Yoga.

Imeandikwa na mkufunzi wa Sanaa ya Yoga, Rumadha Fundi, mwenye uzoefu mkubwa na  diploma ya somo la Yoga toka “ College of Neo-humanists Studies, Gullringen, Vimmerby, Sweden, aliyopa mwaka 1986 na hatimae baadae mwaka 1987 kwenda Tiljala, Culcutta, India, na kupata shahada ya juu kabisa ya Yoga duniani ijulikanayo kwa jina la “Avadhuta”.


Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE


“BBALL KITAA GAME OF ZONES” (@bballkitaa) LINAENDELEA JUMAPILI HII KUANZIA SAA TISA ALASIRI KATIKA UWANJA WA KIKAPU WA GYMKHANA

$
0
0

Digital

SHINDANO LA KUMTAFUTA MKALI WA MPIRA WA KIKAPU KWA MITAA YA DAR NA TANZANIA NZIMA ALMAARUFU KAMA “BBALLKITAA GAME OF ZONES” LINAENDELEA JUMAPILI HII KUANZIA SAA TISA ALASIRI KATIKA UWANJA WA KIKAPU WA GYMKHANA ULIOPO BARABARA YA OCEAN VIEW UKIELEKEA IKULU.
SHINDANO HILI AMBALO LINASIMAMIWA NA BBALL KITAA CHINI YA UDHAMINI WA KINYWAJI CHA SPRITE KUTOKA KAMPUNI YA COCA COLA LINAKUTANISHA TEAM 8 ZA MITAA MBALI MBALI KUTOKA DAR, ARUSHA, MBEYA NA MWANZA KUWANIA TSH 5M AMBAYO TSH 4M ITAENDA KWA WACHEZAJI NA TSH 1M KWA KOCHA WA TIMU ITAKAYO SHINDA.
KWA MIAKA MIWILI MFULULIZO, BINGWA WA MASHINDANO HAYA AMEKUWA NI EAST ZONE 4 AU KANDA YA NNE MASHARIKI AMBAYO INAUNDWA NA WACHEZAJI KUTOKA TEMEKE NA MBAGALA.
KWA TAARIFA ZAIDI KUHUSIANA NA SHINDANO HILI TEMBELEA WWW.FACEBOOK.COM/BBALLKITAA.
BBALLKITAA. MORE THAN A HANGOUT.

Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

MISS KILIMANJARO AMBASSADOR 2015 YOLANDA SHAYO AINGIZWA MITINI NA MUANDAJI

$
0
0

yolanda shayo

PICHANI ni mshindi wa shindano hilo Yolanda Shayo.

Muandaji wa shindano la Miss Kilimanjaro Ambassador 2015, Jackline Chuwa adaiwa kuingia mitini na fedha za zawadi za warembo na malipo kwa watu aliofanya nao kazi kufanikisha shindano hilo.
Habari za uhakika kutoka ndani ya familia ya mshindi wa shindano hilo zinasema kuwa vikao vya mara kwa mara hufanyika kupanga mkakati wa kuvamia ofisi za BASATA kujua hatma ya binti yao Yolanda shayo.
IMG-20150801-WA0041
ILIKUAJE:
Wakati wa kutangaza matokeo ya ushindi siku ya fainali za mashindano hayo usiku wa julai 24,mshindi alikabidhiwa Televisheni kama zawadi na kiasi cha pesa kilichoadiwa kutolewa na mdhamini mkuu ambae ni Coca cola.
Cha kustaajabisha muandaji huyo alienda ofisi za kampuni hiyo na kuchukua kiasi hiko cha fedha ikiwa ni zawadi ya mshindi wa kwanza lakini mpaka leo mrembo huyo anahaha kupata zawadi yake.
Yolanda aliamua kufunga safari mpaka ofisi za Bonite Bottles na kuwauliza wahusika kuhusu zawadi yake na alijibiwa kuwa muandaji huyo alishakabidhiwa fedha hizo siku nyingi.
Mrembo huyo alichukua hatua nyingine ya kumpigia simu Jackline na kumuulizia kuhusu zawadi yake ya fedha taslimu alioadiwa jukwaani na wadhamini wakuu,chakushangaza muandaaji huyo alitoa kauli ya kumvunja moyo kwa maana hatoipata kabisa kwa kisingizio eti hakupata faida.
FAMILIA YA YOLANDA:
Familia ya mrembo huyo imechukizwa na kitendo cha muandaaji huyo kwa kuingia mitini na zawadi ya binti yao na bila kumkabidhi mikononi mwa kampuni hiyo ambapo ilitoka ahadi kuwa atakuwa balozi wa kampuni hiyo kufanya kazi mbalimbali kama balozi wa kinywaji hiko mkoani humo.
Wazazi wa mrembo huyo wamedhamilia kutinga ofisi za BASATA kufatilia mkataba wa bitni yao kutokana hali ya sintofahamu kuendela toka binti yao atawazwe kuwa mshindi mnamo julai 24.
Pia wanafamilia wametoa shutuma nzito kwa shindano hilo wakihoji ni kwanini  msanii wa bongo flava anapewa milioni 25 kutumbuiza wakati binti yao ambae ndiye mshindi anambulia zawadi ya televisheni pekee.
WASHIRIKI WENGINE:
Hali ni tata pia kwa washiriki wa walioingia tano bora hasa namba nne ambae alizawadiwa laki nne na mapazia kutoka kampuni ya Mapazia house lakini chakushangaza muandaji huyo aliingia mitini na fedha hizo na kumuacha mrembo akirudi nyumbani na mapazia tu.
Mrembo huyo Willice Donard amelalamikia kitendo cha muandaji huyo kumjibu majibu ya dharau pale alipompigia simu kuulizia zawadi yake.
Habari zinasema kuwa mrembo alieshika namba tano,Femy Lema alipokonywa nusu ya kiasi cha fedha alichokabidhiwa jukwaani ikiwa ni zawadi ya kuingia tano bora.
KAMATI YA MAANDALIZI:
Hali si shwali kwa upande wa kamati,habari za uhakika toka  kwa watu walioshiriki kumpa sapoti muandaaji huyo zikizadai kuwa amewaingiza chaka na kuwazulumu haki yao ya malipo,mpaka sasa hawajui fedha zao watazipataje.
KAULI ZA MUANDAAJI:
Kauli za muandaji zilizojaa dharau na kejeli kwa watu wanaodai haki zao ndizo zilizowapandisha hasira na kufanya baadhi ya watu kutoboa ukweli huu kwani amekuwa akiwaambia anaenidai aende mahakamani huko ndiko haki ya mtu hupatikana kwa kisingizio eti amesomea sheria.
 
KUMBUKUMBU ZAKE:
Kumbukumbu za muandaaji huyu zinaonesha ni mtu ambae anapenda mambo ya ujanja-ujanja na kujipatia faida kubwa kupitia majina ya watu kama alivyotaka kumtumia Zari Hassan kuvuta watu wengi kuingia katika tamasha lake na angali hakuwa na mkataba wowote na Zari.
Kitendo hiko kilimfanya Diamond Platnumz kutaka kususia na kuandika maneno makali katika ukurasa wake wa instagram,kitu kilichompelekea kutozwa faini na uongozi wa Zari.
BASATA:
Wito umetolewa kwa balaza la sanaa kuwa makini kwa kutoa vibali kwa waandaji wasio na uhakika na shughuli wanazofanya kama ilivyotokea kwenye hili shindano la Miss Kilimanjaro Ambassador 2015.
Tunaamini dhamira ya shindano hili ni nzuri na lina manufaa kwa jamii kuhusiana na utalii,utamaduni na kazi za kijamii,shindano hili lina faida ila tatizo liko kwa muandaaji mwenyewe kana kwamba hana malengo na shindano hilo.
Lawama za pekee ziende kwa Basata kwani shindano hili lilipelekwa kienyeji bila usimamizi wowote kama ilivyo kwa mashindano mengine makubwa,isitoshe kanuni na taratibu hazikufuatwa mwanzo mwisho ndiyo maana leo tunapata malalamiko ya mshindi Yolanda shayo kuingizwa mitini zawadi na mkataba wake.

Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

UMOJA WA WASANII WA FANI MBALIMBALI WAMUGA JK, WAMTANGAZA KUWA SHUJAA WA SANAA YA MUZIKI NCHINI

$
0
0
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani),waliofika ndani ya ukumbi wa Mlimani City  katika hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10 na pia kumtambulisha Mgombea wa Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli,Dkt Jakaya Kikwete alizungumza mambo mbalimbali zikiwemo haki na hatimiliki za wasanii wa muziki pamoja na Bongomovie na pia alikubali kuwa mlezi wa tasnia hizo na kuhakikisha mambo yanakwenda sawa ndani ya tasnia hizo mbili adhimu kwa sasa hapa nchini.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete katikati pichani akiserebuka na wadau wa muziki na huku akipiga nao picha,ndani ya ukumbi wa Mlimani City  katika hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10 na pia kumtambulisha Mgombea wa Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli.
 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akipiga ngoma huku akishirikiana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akipiga gitaa ndani ya ukumbi wa mlimani City jijini Dar.
Mwanadada Wema Sepetu akimtunza midola Dkt John Magufuli alipokuwa akipiga ngoma jukwaani kwa ustadi mkubwa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete akiwa ameambatana na Mgombea Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli pamoja na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana,Katibu wa NEC Itikadi na Uuenezi Nape Nnauye na pamoja na Januari Makamba wakifurahia jambo kwa pamoja na wageni waalikwa mbalimbali waliofika ndani ya ukumbi wa Mlimani City kushiriki hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete akiwa ameambatana na Mgombea Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli pamojoa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana  (mwisho kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mh.Paul Makonda wakiwasili ndani ya ukumbi wa Mlimani City kushiriki hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10.
Rais Dr. Jakaya Kikwete akifurahia jambo  na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli kupitia CCM wakati alipowasili Mlimani City jijini Dar es salaam kwa ajili ya kushiriki hafla ya chakula cha jioni kilichondaliwa na Muungano wa wasanii Kumshukuru Mh. Dr. Jakaya Kikwete kwa jinsi alivyowasaidia katika uongozi wake wa miaka 10 kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kumkaribisha Mgombea wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli, Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana pia akishiriki tukio hilo.Hafla hiyo imehudhuriwa na wasanii mbalimbali  wakiwemo waigizaji wa filamu, wachezaji na wanamuziki wakishiriki kwa pamoja kumshukuru Dk.Jakaya Kikwete.
 Baadhi ya Wadau wa muziki wakifurahia jambo wakati Rais Dkt Jakaya Kikwete alipokuwa akiwasili ndani ya ukumbi wa Mlimani City.
 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na baadhi ya wadau wa muziki nchini ndani ya ukumbi wa mlimani City usiku huu.
 Dkt Jakaya Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa kampuni ya Vodacom,Kelvin Twisa
 Dkt Kikwte akisalimiana na baadhi ya Wasanii wa muziki wa bongofleva
 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam,Mh Said Meck Sadick ndani ya ukumbi wa mlimani city usiku huu.
Wanauziki wakongwe pia walikuwepo kumshukuru Rais Kikwete kwa mambo mengi aliyoyafanya katika uongozi wake wa miaka kumi ndani ya tasnia ya muziki. 
 
PICHA NA MICHUZI JR.
 

Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

Msanii KLEX MAN anakuja na video yake mpya kaipa jina la QUEEN IRENE, nimekuwekea picha zake hapa

VIDEO: NHIF YATOA “DARASA” KWA BLOGGERS WA TANZANIA KUHUSU UCHAGIAJI WA BIMA YA AFYA CHINI

Viewing all 784 articles
Browse latest View live