Mbunge wa Monduli na waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa akimshukuru Mjumbe wa halmashauri mkuu taifa kutoka Serengeti Patric Chandi Marwa huku mwenyekiti wa CCM Serengeti (kulia) Vicent Nyamasagi akitabasamu. Uongozi huo wa CCM Serengeti ulikwenda nyumbani kwa Mh Lowassa Monduli kumuomba atangaze nia kuwa urais kupitia Chama hicho.
Twitter: @chokadj
Instagram: @chokadj OR @djchokamusic
Download DJChokaMusic Android Application Click HERE