Quantcast
Channel: News – eNCA Online TV
Viewing all 784 articles
Browse latest View live

Ijue vizuri simu yako ya mkononi.

$
0
0

Asilimia kubwa ya watumiaji wa simu za mkononi nchini na duniani kwa ujumla wanatumia simu zenye Android. Mfano mzuri wa simu hizi ni Huawei Y360 zinazouzwa kwa ushirikiano wa Tigo na Huawei. Lakini je ni wangapi kati yetu tunajua vyema kutumia simu hizi? Nimekukusanyia njia kadhaa za kukusaidia, nikitumia Huawei Y360 kama mfano.

Angalizo; Nimechagua simu hii kama mfano kwa sababu ni simu mpya, inayouzwa bei rahisi ya 160,000 pekee na hivyo naamini idadi kubwa ya Watanzania watakua wakitumia.

Jinsi ya ku – Capture screenshot

Kama kuna kitu umekipenda na ungependa kubaki na picha yake, au unamtumia mtu mwingine. Njia rahisi ni kuchukua screenshot. Bonyeza Power na Volume Down kwa mara moja.

Untitled-1

Jinsi ya kuzima Auto-Correction

Unapotumia simu yako mara nyingi kuna maneno ambayo simu huleta yenyewe. Hii inalenga kukusaidia na kukurahisishia mambo, lakini wakati mwingine huleta maneno mabaya na unaweza hata kutuma matusi kwa mtu bila kukusudia. Je ukitaka kuondoa ufanyaje?

Untitled-1b


Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE


Ipi kali? Bundesliga, Serie A au Premier League.

$
0
0

Mchezo wa soka ndio wenye mashabiki wengi zaidi duniani. Kati ya mashindano makubwa yanayopendwa zaidi ulimwenguni ni ligi mbalimbali zinazochzwa barani Ulaya. Kwa nafasi yako, je ni ipi ligi kabambe zaidi kati ya hizi? Je ni Premier League ya Uingereza? Au ni Bundesliga ya Ujerumani au ni ile Serie A ya Italia?

Untitled-1

Kila mmoja wetu atakuwa na mtazamo na mapenzi tofauti juu ya hilo, lakini jambo moja linabaki wazi, wote tungependa kutazama mpira barani Ulaya, tena ikiwezekana BURE, bila kulipia gharama zozote. Hii ndio sababu nimeona si mbaya kukupa kaujuzi kidogo jinsi ya kutazama mashindano haya, hasa weekend hii ambapo kuna timu kubwa kubwa zinacheza.

Kama unatumia simu yoyote yenye Android, yaani kama ni Huawei, Samsung, Tecno, HTC, Sony Ericsson na kadhalika basi leo ni bahati yako. Fuata hatua hapo chini kuweza kufurahia mpira kutoka barani ulaya bure kwenye simu yako.

Untitled-1 v


Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

Jinsi ya kuongeza nafasi kwenye simu yako ya Android.

$
0
0

Kama ni mtumiaji wa simu za Android (kama mimi) lazima umekwisha kutana na jambo hili. Mara kwa mara simu yako itakupa ujumbe kuwa imejaa. Kinachosababsha simu yako kujaa mapema si simu bali ni program (applications) unazopakua na kutumia pia maudhui kama vile picha, muziki na video.

Je unawezje kuongeza nafasi kwenye simu yako ya Android? Tutatumia mfano wa Huawei Y360. Sababu ya kutumia aina hii ya simu kama mfano ni kwa vile inaaminika na kupendwa na watu wengi, japo ni simu mpya hapa nchini lakini wengi wanazipenda na wanaendelea kuzipenda. Mara kwa mara nikitembelea maduka ya Tigo (zinakouzwa kwa shilingi 160,000 pekee) hukuta foleni za watu na wahusika huripoti kuwa ndizo habari ya mjini kwa sasa.

Screen Shot 2015-10-13 at 02.29.46

Jinsi ya kuongeza nafasi kwenye simu yako ya Huawei Y360

Futa programs ambazo huzihitaji. Nenda Settings >> All (Juu kulia) >> Apps kisha futa program ambazo huzitumii.

‘Clear App Cache’ Nenda Settings >> All (Juu kulia) >> Apps, kisha chagua program ambazo zinachukua nafasi nyingi (Mara nyingi huwa Instagram na Whatsapp) kisha bonyeza mahali palikoandikwa Clear Cache

Hamishia programu zako kwenye memory card. Huawei Y360 huja na internal memory ya 4GB ila unaweza kuweka memory card hadi ya 32GB. Kuhamishia program zako kwenye memory card kutasaidia sana kuongeza nafasi kwenye simu yako.

Tumia Master cleaner. Huawei y360 huja na program maalumu iitwayo Master Cleaner. Hii itakusaidia kudelete mafaili ambayo huyahitaji kwenye simu yako na kukuongezea nafasi zaidi


 

Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

Matangazo mtandaoni. Mbinu mpya ya kuwafikia wateja wengi zaidi.

$
0
0

Kwa wiki nne mfululizo tumekuwa tukikuwekea hapa baadhi ya Makala kuhusiana na simu ya Huawei Y360 inayouzwa kwa ushirikiano kati ya makampuni nguli ya mawasiliano nchini, Tigo na Huawei.

Sababu kubwa ya kuweka Makala hizo, tulikuwa tukifuatilia aina mpya ya kufanya matangazo ambayo inatumika. Makampuni haya yamekua yakitumia kurasa za Facebook, Twitter, Blogs na mitandao mingine mingi kuwafikia watu wengi zaidi.

Mpaka sasa Huawei Y360 kupitia njia hii imewafikia watu wengi zaidi? Jibu ni ndiyo. Katika ufuatiliaji wetu, tumegundua kuwa idadi ya watumiaji wa Huawei Y360 imeongezeka sana baada ya makampuni haya kutumia mitandao hii.

Screen Shot 2015-10-15 at 12.00.27

Tulipouliza wengi wa wateja wake, majibu yalikua kupita mitandao waliweza kupata ushauri wa kitaalamu ambao wengi wa wataalamu hao walishauri kunununa simu za mkononi za Huawei Y360. Faida walizoelezwa ni hizi;

Moja simu hizi zinauzwa kwenye maduka ya Tigo hivyo mnunuzi anakuwa na uhakika kuwa ananunua simu original zikiwa na waranti yam waka mmoja. Mbili bei yake ni nafuu ambayo ni Shilingi 160,000 pekee. Tatu kila mteja anayenunua, anarudishiwa pesa yote aliyonunulia kama vifurushi.

Hivyo basi kama makampuni makubwa yanatumia mitandao, nawe kama mfanyabiashara mdogo mdogo ni wakati sasa wa kuwaza kutumia njia hii kuwafikia watu wengi zaidi.

Screen Shot 2015-10-15 at 12.00.45


 

Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

DIAMOND amechukuwa tuzo nyingine kutoka #MTVEMA

$
0
0

MTV-5

Hii good news imekuja siku chache baada ya ushindi wa tuzo za AFRIMMA 2015 ambazo zilitolewa Dallas Texas Marekani ambako Diamond Platnumz alishinda tuzo tatu.

Sasa kupitia twitter page ya MTV BASE leo October 15 2015 yameandikwa maneno ya kumpongeza Mtanzania Diamond Platnumz kwenye ushindi wa MTV Europe Music Awards yakisomeka >>> ‘ | Congratulations to who is the ‘Best African Act

Kwa time hiyohiyo kundi la Sauti Sol la Kenya lilimpongeza Diamond kupitia Instagram page yao na kuandika ‘MTVEMA imebaki Afrika Mashariki, ilikua yetu mwaka 2014 na sasa ni ya Diamond mwaka 2015, tumpongeze #BestAfricanAct2015 Diamond Platnumz, usisahau kuendelea kumpigia kura sasa hivi anaiwakilisha Afrika kwenye kipengele cha #WorldwideACT, mshindi atatangazwa tarehe 25 October 2015 Milan, Italy

News kwa niaba ya http://millardayo.com


Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

Kinachoendelea kwenye mashindano mbalimbali ya mpira wa miguu barani Ulaya.

$
0
0

Barani Ulaya, ligi mbalimbali za soka zinaendelea. Nchini Ujerumani, Bundesliga inaendelea, Italia Serie A imepamba moto na huko Uingerza Premier League haikamatiki. Hapa chini ni ratiba za michuano mbalimbali barani Ulaya.

1

Mamilioni ya wapenzi wa Soka duniani kote wanatazama michuano hiyo kupita Televisheni, wachache kupitia tovuti mbalimbali za kulipia. Vipi kama nikikuonyesha njia rahisi ya kuzitazama kwenye simu yako ya mkononi, bila kulipia chochote yaani BURE?

Kama una simu ya Android, nenda PlayStore. Tafuta Application ya Tenbre, Download na Install. Baada ya hapo ifungue na ufurahie kutazama michuano ya soka barani Ulaya na NBA BURE kabisa.

2

 


 

Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

DIRA YA DUNIA JUMANNE 20.10.2015

Bhits New Release (OCTOBER 2015)

$
0
0

PicsArt_1445582069285

 

Hello Friends,
The Kids of District 9ine decide to pay respect to god given “morphology” of a certain friend. The fashion they use is so ever very artistic to some point it becomes comical.
Uno how you be sitting with friends and a goergous “Mamaa” passes by…and all you can do to appreciate the looks is clear your throat like EEH EEH! 
Who thought these guys can do a full swahili track? Who though they could master both languages this well? Who though they can make exclamation situation into full blown sentences of art? There is no promising growing brand like District 9ine. 
Join the movement, and support them by downloading and listen to the song for FREE on this link: http://www.djmwanga.com/2015/10/new-audio-district-9-eehhee.html and watch this song’s video on this link https://www.youtube.com/watch?v=3FizsQFpY50
Anyway we have attached the song,video and a picture of this song in this email to make it easier for you.
Hope Ya’ll going to have fun.
 
Life’s Too Short…Make The most of it.
 
Hermes B. Joachim Lyimo (Hermy B)
CEO Bhitz Music Group Ltd.
+255 785 513512
Artist: District 9ine
 
Song: EH EEEH
 
Written By:Amani Joachim/Pancho Latino & Hermy B
 
Created and Composed by: Pancho latino, Amani Joachim & Hermy B
 
Produced, Recorded, Engineered By: Pancho Latino 
 
Additional Instruments: N/A
 
Mixed and Mastered By: Hermy B At B’Hits Studio 4, Dar es Salaam.
 
All rights Reserved Under Copyright And Neighboring Right Act, only for promotion, not for sale or public performance.
 
Hermy B, District 9, Amani Joachim, Pancho Latino, appears courtesy of B’Hits Music Group Located In Dar es Salaam Tanzania.
 
DISTRICT 9INE- EH EEH (Produced by Pancho Latino and Hermy B and , Mixed, Engineered and Mastered By Hermy B)

 

 


Kleyah Ft Barnaba – Msobe msobe

$
0
0

Teaser-1

Kleyah is a Ugandan born song writer and recording artist currently living in Tanzania. She holds a Degree in Communications from University of Phoenix in USA and will be completing her Master’s degree in International Management in March 2016.

In a bid to follow her childhood passion for music, Kleyah left her corporate career at UNDP where she was a communications Consultant where one of her assignments was being publicist to visiting, former New Zealand Prime Minister Helen Clark on wildlife conservation in 2014.

Teaser-2

In late 2014, She teamed up with celebrated Tanzanian vocal coach, Joett; pianist Luigi Tamburi and Musician Mzungu Kichaa to craft her first two self-written Singles “Lover’s Eyes and Don’t Slay me” which were produced by legendary Kenyan producer Lucas Bikedo of famed video production outfit Ogopa DJ. The two singles were released online on 14th October 2015 via her

Teaser-3

Vevo Channel; KleyahVevo. http://www.vevo.com/watch/kleyah/Dont-Slay-Me/QMGR31539075; https://www.youtube.com/watch?v=rAl7H79CDAo In September Kleyah teamed up with renowned Tanzanian artist “Barnaba Classic” on her first collaboration Single Titled “Msobe Msobe” which is going to be her first official release on Radio and will be coming out on 5th November 2015 between 4:00PM and 7:00PM.

Kleyah is currently working with different celebrated producers in Tanzania recording songs for her first album which she anticipates to release by July 2016. It is going to be a mixture of POP, neo-soul, afro electro, and afro beat and some surprise collaborations.

Setting her eyes on being unique, Kleyah’s story of passion for music, yet never losing sight of getting a good foundation in education, is set to inspire others in more ways than one right across the African Diaspora and beyond. More about Kleyah can be found on her website www.kleyahmusic.com You can as well follow her on Instagram @Kleyahmusic and Facebook page @Kleyah.


 

Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

PROMOTER MTANZANIA ANAYEISHI MAREKANI ASHINDA TUZO YA “BEST PROMOTER” MAREKANI

$
0
0

Ndugu Dickson anayefahamika kwa wengi kama  Mr “DMK ”

Promoter “DMK” wa Kampuni ya DMK GLOBAL PROMOTIONS ashinda Tuzo ya Best Promoter USA katika zile tuzo za AFRICAN ENTERTAINMENT AWARDS USA 2015 ,Tuzo hizo zilitolewa OCTOBER 31 New York ambapo Makampuni 6 yalikuwa yakichuana kipengele hicho na DMK Global kuibuka kidedea,Pia katika Awards hizo Wasanii kutoka Tanzania Diamond alichukua Tuzo ya Hottest Male Single na Ommy Dimpoz tuzo ya People’s Choice .

Kampuni hii inafanya Shuguli zake Marekani za kuandaa Events mbali mbali za burudani kama CLUB EVENT,CONCERTS, CARNIVALS  ikiwa ni pamoja na kuleta wasanii Marekani kutoka Tanzania na Africa kwa ujumla,pia inafanya matamasha ya Burudani na wasanii wa Marekani pia.Baada ya Tuzo hizi Tulimpigia simu bwana DMK na kumpongeza kwa kuiwakilisha vyema Tanzania na East Africa kwa ujumla ambapo aliwashukuru sana waliompigia kura kote Duniani na kuongezea kuwa Tuzo hii ameipata yeye lakini angependa ijulikanekuwa shughuli hizi huwa anazifanya kwa kusaidiana na Partners wake kampuni za Safari Entertainment na J&P Ent ambazo amesema kuwa bila wao kushurikiana nao asingekuwa hapo alipo.

Bwana DMK amesema tutegemee Mambo makubwa mengi kutoka kwake na Partners wake hivi Karibuni.


 

Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

ICE PRINCE RELEASES “BOSS” MUSIC VIDEO SHOT IN NAIROBI & LAGOS

$
0
0

IMG_2648

East meets West as Nigerian artiste Ice Prince Zamani releases the music video of his single: BOSS, shot in Nairobi and Lagos. The video was directed by the acclaimed video director Mr. Moe Omusa. BOSS becomes the first African music video to premiere on Jay Z’s Tidal Platform. 

Watch BOSS on YouTube: http://bit.ly/20I62Va 

Get BOSS (produced by Tekno) on iTunes: https://itun.es/ng/17RM9

“It’s about levels. We are just getting better and continuing to surprise Zamaniacs with every release. BOSS is a song for everybody – be the boss of yourself. Be the boss of everything you do. Make boss strides. Time for Africans to rise,” said the Chocolate City Boy, Ice Prince.

 For the release of BOSS, Ice Prince has pulled nothing but boss moves. He has rewarded two of his fans a return ticket to Dubai in a merger with PlayNetwork. The fans won at the just-concluded BOSS Post Your Video Singing Along, Dancing or Vibing to BOSS competition using hashtag #BOSSBYICEPRINCE


Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

MERU LOGISTICS KAMPUNI YA UHAKIKA YA KUSAFIRISHA MIZIGO KUTOKA UK KUJA TANZANIA

$
0
0
 
Karibu Meru Logistics kwa huduma nzuri, safi, zenye uhakika na haraka kutuma mizigo kutoka UK kwenda Tanzania.
 
Wasiliana nasi pia kama unahitaji chochote kutoka UK kama vile magari, matractor, fridge, TV, Vyombo nk. tuta kusaidia kununua na kukutumia mpaka Tanzania bila tatizo lolote na vitafika salama kabisa
 
Bei za kutuma mizigo ni kama ifuatavyo:
 
20′ CONTAINER TO DAR /MOMBASA FROM £1,300 
40′ CONTAINER TO DAR /MOMBASA FROM £1,800
4X4 TO DAR/MOMBASA FROM £850
SALOON CARS TO DAR/ MOMBASA FROM £750
AIR CARGO TO DAR £5 A KILO
AIR CARGO TO ZNZ £4 A KILO 
INCLUSIVE CLEARANCE
TO COLLECT CARGO LONDON FROM £25 
TO COLLECT CARGO OUTSIDE LONDON FROM £50
ONCE YOU PAY HERE IN UK YOU DONT PAY ANYTHING IN TANZANIA
(UKIISHA LIPA UK UNAKWENDA TU KUCHUKUA MZIGO WAKO)
Address in UK: Unit 12 Manor Way Business Centre
Marsh Way, Rainham, Essex
RM13 8UG
 
COLLECTION POINT IN DAR IS:
 DAR FREE MARKET, ALI HASSAN MWINYI ROAD
OYSTER BAY NEAR KENYAN EMBASSY & DSTV
Telephone: +44 (0) 1708554632
Instagram: @merulogistics 
Facebook: Meru Logistics
 
CUSTOMER SATISFACTION GURANTEED!!!

Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

NAVY KENZO TRAILBLAZING, NOMINATED FOR NAIJA AWARDS, TOPPING CHARTS ACROSS AFRICA!

$
0
0

top naija. VOTINGpsd

African (Tanzanian based) hit maker duo Navy Kenzo, composed of songstress Aika and Producer Nahreel have been nominated for best group at the Top Naija Music Awards that will take place on the 26th of January. Navy Kenzo will be up against such acts like Dupi 2, Connect Music Group (CMG), Ace Republic, DP-Kings and Betrose

Navy Kenzo, having joined forces with MTV MAMA Nominee and AFRIMA winner Vanessa Mdee with their latest single Game have managed to stir interest and a nomination. The heavy hitting club banging collabo has already been number one on various music charts across Africa such as Trace African charts,  Sound City and even the MTV Base Official African Chart to name a few… And also across the world!

Game – a cat and mouse love song – about a guy who chases a girl waiting for the day she stops playing hard to get, has earned Navy Kenzo a nomination at the Naija awards for a group that comes from outside of Nigeria.

Although this is their fifth single together they have had previous hits such as Bokodo, Viza and Moyoni. But it was with Game that Navy Kenzo managed to cross over to the international market.  With a video shot in South Africa and Directed by Justin Campos

Navy Kenzo is a duo led by amazing vocals of the group’s songstress Aika and Kilimanjaro Tanzania Music Award winning producer Nahreel that has made beats for a number of hits such as Diamond Platnumz’s Nana, Joh Makini’s  Nusu Nusu and Vanessa Mdee’s Nobody But Me, Never Ever and Hawajui,

Voting has started and will end on Thursday, December 31, 2015. Winners will be announced on January 2, 2016 and the award presentation ceremony will take place on Tuesday, Jan 26, 2016 in Lagos.

To vote for Navy Kenzo as Best Group at the Top Naija Music Awards please visit http://topnaijamusicawards.com/vote/bestmusicgroup/

Contacts

Management/Bookings:

Paschal M.G

+255 769 352 825

+255 782 481 971

Email: bookings@navykenzo.com

Website: www.navykenzo.com

For more information

Twitter: https://twitter.com/navykenzo

Instagram: https://instagram.com/navykenzoofficial

Snapchat: navykenzo

Be sure to subscribe to our YoutubeVevo: https://www.youtube.com/user/NavyKenzoVEVO/videos


Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

NEWS: DKT REGINALD MENGI KUISADIA HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC.

$
0
0
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt Reginald Mengi akiwa ameongozana na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC,Dkt Geleard Masenga wakati alipowasili katika ofisi ya Mkurugenzi  huyo mwishoni mwa wiki. 
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt Reginald Mengi akisalimiana na Askofu mteule wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheria (KKKT) Tanzania ,Dkt Fredrick Shoo alipowasili katika ofisi ya Mkurugenzi wa hosptali ya rufaa ya KCMC .(kulia) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hopstali hiyo,Dkt Gileard Masenga.
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt Reginald Mengi akiteta jambo na Askofu Mteule wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheria (KKKT) Tanzania ,Dkt Fredrick Shoo .
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt Reginald Mengi akipeana mikono na Mkurugenzi mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC ,Dkt Gileard Masenga mara baada ya kutamburishwa kuwa ndiye mtendaji mkuu wa hospitali hiyo kwa sasa.
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt Reginald Mengi akizungumza jambo mara baada ya utamburisho wa mkurugenzi huyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hopstali ya Rufaa ya KCMC ,Dkt Gileard Masenga akizungumza jambo mbele ya Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt Reginald Mengi (hayupo pichani).
Dkt Mengi akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Hosptali ya Rufaa ya KCMC.
Mkurugenzi mkuu wa Hosptali ya Rufaa ya KCMC,Dkt Giliard Masenga akizungumza kuhusu ujenzi wa ngazi kuu za kungilia wodini katika hosptali ya Rufaa ya KCMC ambazo ujenzi wake uligharimu kiasi cha sh Mil 30 ,Fedha ambazo zilitolewa na Dkt Mengi.
Askofu Mteule wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheria ,(KKKT) Dkt Freedrick Shoo akisoma taarifa ya Hosptali hiyo katika hafla fupi ya uzinduzi wa ngazi kuu za kuingilia wodini katika hosptali ya rufaa ya KCMC ,ujenzi uliofadhiliwa na Dkt Mengi.
Askofu Mteule wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheria ,(KKKT) Dkt Freedrick Shoo akimkabidhi Dkt Mengi taarifa ya Hosptali hiyo wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa ngazi kuu za kuingilia wodini katika hosptali ya rufaa ya KCMC ,ujenzi uliofadhiliwa na Dkt Mengi.
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt Reginald Mengi akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa matumizi ya ngazi kuu za kuingilia wodini katika hospitali hiyo.
Baadhi ya wananchi walioshuhudia tukio hilo.
Mwenyekiti mtendaji wa Makampuni ya IPP,Dkt  Reginald Mengi akiongozana na Mkurugenzi mtendaji wa Hopstali ya Rufaa ya KCMC wakipita katika ngazi kuu zilizofanyiwa ukarabati hii karibuni.
Dkt Mengi akitizama baadhi ya maeneo katik awodi za hospitali ya rufaa ya KCMC ambayo miundo mbinu ya maji pamona na vyoo imekuwa chakavu.
Sehemu ya maeneo ambayo yameathirika na uchakau wa miundo mbinu ya maji.
Dkt Mengi akisalimiana na mmoja wa wagonjwa waliolazwa katika hosptali ya Rufaa ya KCMC.
Mkurugenzi mtendaji wa Hosptali ya Rufaa ya KCMC,Dkt Giliard Masenga akimuonesha Dkt Mengi  maeneo mbali ya hosptali hiyo ambayo upanuzi umeanza kufanyika kama sehemu ya kuboresha huduma ya afya.
Dkt Mengi akiaga mara baada ya kutembelea hospitali ya rufaa ya KCMC pamoja na kuzindua ngazi kuu za kuingilia wodini.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.


 

Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

Jameson yaandaa pre-party George and Dragon Dar kuelekea Jameson Live Party itakayofanyika Nairobi.

$
0
0

504

  • Mshindi mmoja kujishindia tiketi ya watu wawili kwenda Kenya kwenye party ya Jameson itakayotumbuizwa na B.O.B

Dar es Salaam, Tanzania, 19th November 2015: Jameson inaandaa pre-party itakayofanyika tarehe 21 ya mwezi huu katika bar ya George and Dragon jijini Dar es Salaam.

Watumiaji wa Jameson watakaonunua chupa ya kinywaji hicho watafanikiwa kuingia moja kwa moja kwenye droo ya kushinda tiketi ya kwenda Kenya kushuhudia party ya Jameson itakayofanyika hapo tarehe 12, December.

Jameson Live 2015 Party, inamleta msanii wa hiphop kutoka Marekani, Bobby Ray Simons, maarufu kama B.O.B, ambayo itafanyika Ngong Racecourse hapo tarehe 12 December.

Rapa huyo mzaliwa wa Atlanta amezungumzia kuhusu show yake hiyo ya Nairobi katika ukurasa wake wa Facebook, akiwataka mashabiki wake wajiandae kwa show kali.

B.O.B ambaye alitambulika katika ulimwengu wa muziki kupitia kupitia mixtape yake ya Cloud 9, amefanikiwa kufanya show sehemu mbalimbali duniani huku wimbo wake wa ‘Airplanes’ na ‘Nothing on You’ aliyomshirikisha Bruno Mars zikiongoza chati mbalimbali za mziki duniani.

Nyimbo zake za hivi karibuni kama ‘So Good’ na ‘Headband’ nazo zimefanikiwa kumfanya B.O.B kuwa mmoja ya wanamuziki wakubwa duniani.

 

Huku akiwa ameshinda tuzo mbalimbali za BET, MTV pamoja na Teen Choice na huku akifanikiwa kuchaguliwa kuwania tuzo za Grammy zaidi ya mara sita, B.O.B ameshawahi kufanya show na wanamuziki mahiri kama Janelle Monae, Eminem, Linkin Park, Kanye West, Drake, Usher, Paramore na wengine wengi.

 

Jameson wamejipanga kukuza viwango vya burudani kwa nchi za Afrika Mashariki na awamu hii wamejipanga kwa kuwapa burudani ya pekee mashabiki watakaohudhuria burudani hiyo huku wakizidi kuwekeza zaidi katika kuwaleta wasanii wa kimataifa.

 

Mwaka 2014 Jameson ilifanikiwa kuandaa matamasha mawili makubwa nchini Kenya ambayo yote tiketi zake zilimalizika kabla huku la kwanza burudani ikitolewa na wasanii wa ndani, na la pili burudani ilitolewa na msanii 2 Chainz huku balozi mashuhuri wa Afrika Akon akihudhuria pia.

 

Akizungumzia kuhusu show hiyo, Balozi wa Jameson, Antony Owich amesema party ya mwaka huu itazidi kuwa kubwa na bora kuliko miaka iliyopita.

 

‘Jameson imejikita katika kuwapa kumbukumbu za kipekee mashabiki wake na kwa mwaka huu inawaahidi kuwapa burudani ya pekee kabisa na watu wasikose kuhudhuria’ alisema Owich.


 

Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE


SAUTI SOL (@SautiSol) RELEASE ALBUM ART WORK “LIVE AND DIE IN AFRIKA”

$
0
0

Instagram

Just crowned winners of the Best African Group & Producer of The Year (Sura Yako) at the AFRIMA Awards in Nigeria, Sauti Sol, the Kenyan group, have finally unveiled the album cover and track list of their anticipated third album: Live and Die in Afrika, dropping soon!

 Sauti Sol initially teased their fans by posting a series of blurred photos, each less blurred than the last. The last series of photos finally unveiled the official Live and Die in Afrika album artwork, after which the track list was released. The cover, which was shot at African Heritage House, has attracted the attention of many due to the cover’s iconic fashion and style. The production behind the cover was produced by celebrity stylist Annabel Onyango.

 On the cover of Live and Die in Afrika, Sauti Sol and their traditional styling evoke what it means to be authentically and proudly African. 

Back (1)


Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

Vanessa Mdee Wins Big at AFRIMA!

$
0
0

never ever

Hit maker Vanessa Mdee, aka Vee Money, for the second year running wins an All Africa Music Award (AFRIMA) in Lagos, Nigeria. This time for the Best African Pop song. The accolade was for last year’s hater responding track Hawajui and comes after last year’s win for Best East African Female Artist. Vee Money was up against talents Wande Coal, Ycee, Don Bigg, Meezo L Fadly, DJ Fadly and Toofan.

Vanessa also performed at the awards show alongside Waje and Victoria Kimani who were later joined by Diamond Platnumz when singing the inspirational song Strong Girl.

Later this month Vanessa will be performing at what has been dubbed as the biggest concert in Africa this year at the African Music Concert on the 21st of November in Johannesburg, South Africa. The concert will feature beat banging artist such as Wizkid, Davido, Flavour, Burna Boy, AKA, Cashtime, Casper Nyovest, Roberto and Bucie to name a few. 

Vanessa Mdee is a multi time Kilimanjaro Tanzania Music Award winner and recipient of the All African Music Awards (AFRIMA) Best East African Artist 2014, African Muzik Magazine Awards (AFRIMMA) Best East African Female Act 2015.

NEW MUSIC: ‘Never Ever’

http://youtu.be/si4YNX4O5f4

Download Audio:  https://www.dropbox.com/sh/v56888jarrulin5/AACMmACTH0kaqtCHxIDI_eOSa?dl=0

 Download Video:  https://www.dropbox.com/s/vre4eg9y5as5wvh/vanessa%20mdee%20_never%20ever_%20final%20%28h264%2060mbs%29.mp4?dl=0

Contacts:

Email: vanessa@vanessamdee.com

Management/Bookings: salha@vanessamdee.com

 +255686282268

For more information

Website: www.vanessamdee.com

Youtube: https://www.youtube.com/user/VanessaMdeeVEVO

en.wikipedia.org/wiki/Vanessa_Mdee

www.twitter.com/vanessamdee

www.instagram.com/vanessamdee

www.facebook.com/VanessaMdee

RC KILIMANJARO, AMOSI MAKALA AKUTANA NA MAOFISA WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MOSHI KUZINGUMZIA JUU YA HOFU YA KIPINDUPINDU.

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Amosi Makala akiwa katika ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi,kuzingumza na watendaji wa Afya na Mazingira.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Amosi Makala akifurahia jambo mara baada ya kukutana na watendaji wa Halmashauri kuzungumzia juu ya hofu ya Ugonjwa hatari wa Kipindupindu.kushoto kwake ni kaimu mkurugenzi wa Manispaa hiyo Jeshi Lupembe. 
Baadhi ya watendaji.
Mkuu wa wilaya ya Moshi ,Novatus Makunga akiwa na mmoja wa maofisa wakifuatilia maelelzo yaliyokuwa yakitolewa ofisini hapo.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Amos Makala akizungumzia changamoto iliyojitokeza hivi karibuni ya kujaa kwa dampo la kutupa taka hali iliyosababisha mrundikano wa takataka katika maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi,Hapa alikuwa akitoa agizo taizo hilo kushughulikiwa mara moja.
Baada ya agizo hilo mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga alifanya ziara katika dampo lilopo Kaloleni kujinea tatizo lililosabaisha magari ya kubeba taka kushindwa kuendelea na zoezi hilo.
Katapila likijaribu kusawazisha takataka katika eneo hilo la dampo ili kurahisisha utupwaji wa taka katika eneo hilo.
Wakati zoezi la kurekebisha barabara katika eneo la dampo likiendelea,mmoja wa wananchi kkatika eneo hilo alikuwa na shughuli ya kujiokotea vitu ambayo anadhani vitamsadia katika kujipatia kipato.
Mifugo aina ya Mbuzi pia wamekuwa wakifanya eneo hilo la dampo kama sehemu ya kujipatia chakula.
Wafanyakazi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi wakizoea taka zilizokuwa zimerundikana katika eneo la jirani kabisa na soko la Manyema mjni hapa.
Shughuli ya uzoaji taka ikiendelea.
Mkuu wa wilaya ya Moshi ,Novatus Makunga akizungumza namna ambavyo utekelezaji wa agizo la mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro lilivyoanza ikiwa ni njia moja wapo ya kukabiliana na Ugonjwa hatari wa Kipindu pindu.
Hivi ndiyo hali iliyokuwa katika soko la MANYEMA.
DC Makunga akijionea hali halisi.
Moja ya dampo likiwa limejaa taka.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.


 

Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

NEWS: NAVY KENZO (@NavyKenzo) WAFANYA COLLABO NA KUNDI KUTOKA GHANA

$
0
0

image001

Kundi la Navy Kenzo linaloundwa na producer na muimbaji pamoja na mwimbaji Aika hivi karibuni walikuwa nchini South Africa walikoenda kutumbuiza mbele ya maelfu katika tamasha la African Music Concert (AMC)

Baada ya tamasha hio lililofanyika Jumamosi Nov 21. Jijini Johannesburg, na kuwakutanisha wasanii mbalimbali wa Africa kwenye jukwaa moja kama Wizkid, Davido, Vanessa Mdee, Victoria Kimani na wengine, hit makers hao wa “Game”, Navy Kenzo walipata fursa ya kuingia studio kurekodi colabo na kundi la R2Bees kutoka nchini Ghana.

“Something z comin @navykenzoofficial ft @r2beesmusic #goodmusiconly” aliandika Nahreel kwenye ukurasa wake wa Instagram.

R2Bees ni kundi linaoundwa na wasanii wawili ambao ni ndugu (binamu), Faisal Hakeem (Paedae da Pralem) na Rashid Mugeez (Mugeez). Miongoni mwa tuzo  kubwa walizowahi kushindania ni pamoja na BET Awards 2013 Best International Act: Africa na ni washindi wa tuzo nyingi zikiwemo 9 za Ghana Music Awards.


Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

HAKIELIMU YAZINDUA JOPO LA WASHAURI MABINGWA

$
0
0
Timu
ya Menejimenti ya HakiElimu ikiwa katika picha na Mwenyekiti wa Bodi ya
HakiElimu na Mgeni rasmi katika hafla ya uzinduzi wa jopo la washauri
bingwa
Wafanyakazi wa Shirika la HakiElimu waliohudhuria uzinduzi katika picha ya pamoja na jopo la washauri bingwa
Waliosimama ni Prof. J. Galabawa (kushoto) Prof. Kitila Mkumbo (katikati) na Prof. Elias Jengo (kulia) Waliokaa ni John Kalage (Mkurugenzi wa HakiElimu) Prof. G.Mmari (katikati) na Prof. Prof. Martha Qorro (Kulia).
Mgeni
rasmi Prof. Geofrey Mmari,akizungumza jambo katika hafla fupi ya
uzinduzi wa jopo la washauri mabingwa akitoa neno la ufunguzi.
Prof. Kitila Mkumbo mmoja wa wajumbe wa ThinkTank akitoa neno kwa niaba ya jopo la washauri bingwa wa HakiElimu.
Mwakilishi
wa Kamishna wa Elimu Bi, Joyce Sekimanga kutoka Wizara ya Elimu na
Mafunzo ya Ufundi akiwasilisha ujumbe kutoka serikali katika uzinduzi wa
jopo la washauri wa HakiElimu
Prof. Martha Qorro mmoja wa wajumbe wa jopo la washauri
mabingwa akipokea mpango mkakati wa HakiElimu kutoka kwa mgeni Rasmi
Prof Geofrey Mmari
Prof. J. Galabawa mmoja wa wajumbe wa jopo la washauri mabingwa akipokea mpango mkakati wa HakiElimu
Mkurugenzi Mtendaji wa HakiElimu John Kalage akielezea lengo la kuanzishwa kwa Think Tank
Washiriki katika uzinduzi wa jopo la washauri mabingwa wa HakiElimu

Twitter: @chokadj @djchokatv

Instagram: @djchokatv @chokadj @djchokamusic

Facebook Fans Page: https://www.facebook.com/djchokamusic

Download DJChokaMusic Android Application Click HERE

 

 

 


Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
SHIRIKA la HakiElimu
limezindua Jopo la Washauri Mabingwa
linaloundwa na maprofesa 10 waliobobea katika fani ya elimu ili  kuleta mabadiliko katika sekta ya elimu kwa
watoto kupata elimu bora.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es
Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa HakiElimu , John Kalage amesema kazi ya jopo
hilo itakuwa kutoa ushauri wa kitaalam juu ya masuala ya elimu kadri
litakavyoombwa na  HakiElimu.
Amesema jopo hilo litatatoa ushaufri juu ya mikakati
,taratibu na mbinu za kuhakikisha ushiriki madhubuti katika kukuza na kutetea
ubora wa elimu nchini.
Kalage aliwataja maprofesa wanaounda jopo hilo kuwa ni
Abel Ishumi,Herme Mosha,Justinian Galabawa,Kitila Mkumbo,Suleiman
Sumra,Martha  Qorro, Mwajabu
Possi,Akundaeli Mbise, Masalukulangwa pamoja na Elias Jengo.
Amesema kuanzishwa kwa jopo hilo litasaidia shirika
kupata mawazo mapana zaidi ya kitafiti na uchambuzi wa changamoto za sekta ya
elimu.
Kalage amesema kuwa jopo hilo litakwenda sambamba na
jitihada za serikali kuwa na mikakati mingi ya kuboresha elimu na azma ya
serikali kutekeleza maazimio mbalimbali ya kimataifa kama  Malengo Maendeleo Endelevu (SDGs)na Incheon ya
uboreshaji wa elimu.
 

 

Viewing all 784 articles
Browse latest View live